Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiachika uje tu huku, tutakupokea 😀😀😀Eendiwoooooooo mamiloo !I'm oredi taken!
Jiandae kwa lolote😂💃🤣🤣🤣🤣
Nasubiria jibu langu kwa huku nimekaa upande upande
WalasijachelewaUmechelewa Mkuu.
Mpaka kifo kitutenganishe mkuu sheendwaaa!!Ukiachika uje tu huku, tutakupokea 😀😀😀
Ameen na iwe kweliHuo ni ubogazi. Fumba macho tuombe
Kweli watu wanapenda mashangazi😀😃 yani hawana mipaka ya kutongoza..Mpaka kifo kitutenganishe mkuu sheendwaaa!!
Kunitongoza hawezi 😀😀samahani Equation x usije mtongoz Amehlo kwani she is already taken.
Sana na tunawahitaji sanaWajichannganyeee wasiseme sijawambia nipo nimekaa paleee😂!!
Wanawake Wote ni wakaree humu !
Sijui kwanini nimecheka sana, Ayseee [emoji38]Kukutana nao hawa inabidi uwe na silaha. Wakianza ushetani wao tu! Unamuwasha!
Wanasema pesa ni shetaniNa unajua kwanini nitakimbia nayo
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha nachekaaaa kama mazuri
Tuma namba ya simu na kiasi kinachotakiwaNavuta subra
Ila isikae sana hyo subra
Asante mkuu, alishashawishika tayari kwa sasa tupo kwenye mipango ya harusiUkabarikiwe kwenye hilo jambo lako la kumtafuta mwenzako ili umshawishi mfunge nae pingu za maisha,,,kila la kheriii kwako!!
Kwa michango yenu hapa MMUMnatuthaminisha kwa maandishi ama?
Hakuna kulala, jiandaeni kwa matokeoWewe acha kutuweka roho juujuu mwisho tupate hypertension buree wenye H zetu
Sawaaa😀Kwa michango yenu hapa MMU
Hahaha tuma yako kwanzaTuma namba ya simu na kiasi kinachotakiwa
Cool!!Mungu aendelee kuwajalia Afya ya Mifupa,,,Damu na Nyama mfanikishe mipango iliyo Mema mbele ya Mungu na mbele ya walio wengi katika jamii pia!!Asante mkuu, alishashawishika tayari kwa sasa tupo kwenye mipango ya harusi