Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

Nataka kumuoa huyu mlimbwende wa JF

Hayo unajua wrewe
Mie najua kuwa hakuna mapenzi, hakuna vita🤣🤣
Ebu muite hapa jamvini, asije akawa anatupanga; siku ya harusi anaaga anaenda kwao, kumbe anakuja kwa equation x
 
Me wengi sana humu wamejiita majina ya kike, wanachati kikike kike na wameweka picha nzuri za kuvutia kwenye profile pictures zao.

ONYO:

*Ukikutana na Me akakugeuzia kibao usitulaumu hatukukwambia.

*Shemele nao wapo.

*Mashoga.

USHAURI:

Fikiri kabla ya kutenda.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Si keshakutana nae Jamani?
 
Back
Top Bottom