Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Maini hayazeeki lkn hivo vingine vimekata maji.Maini huwa hayazeeki
Tutasaidiana kuleaIli nigundue nini miee nalea wajukuu tu Saivi!
Njoo ule ugali na kachumbariNi post yake imenirudisha mie sitaki huku na haribu CV yangu bhana
Ebu fafanua zaidi tuweze kuelewaMaoni hayazeeki lkn hivo vingine vimekata maji.
ππππEbu fafanua zaidi tuweze kuelewa
UnakaribishwaJf kisima cha burudani. Kila siku watu wanatengeneza wasifu mpya. Leo mwana JF anaweza kuwa wa kike, kesho dume. Leo mleta mada anataka kuoa akati siku zingine ni married man mwenye watoto watano ndani ya ndoa na mahawara wenye watoto 10+.
Na ana mpango wa kuendeleza libeneke, hana mpango wa kuacha hizi mishe. Unless mtajwa anajisikia kuongezeka kwenye list, asijaribu. Nweiz..it is what it is. Pambaneni...
Bila kusahau Shunie mrembo asiyechuja
Binafsi navutiwa sana na To yeyeπ
We jibu kwa dhihaka tu... utakuwa na dhima juu ya kudanja kwangu sababu ya mapenzi ππ£ππππPambana
Nilijua tu π€Kuwa mpole
Kuwa na hekima
Kuwa na subira.
Hilo jina ni kama linashabihiana na mwenye kumiliki hisia zangu pia.
Mapenzi bila vita hayanogi.
Jiandae kwa mpambano. Jina lake linaanzia D na ukiona siyo mwenyewe basi pita hiviπ
mwanangu unanichukulia chombo changu hivihivi yaan π£πππYumo humu mkuu, yaani usiku silali namuwaza yeye tu
Kweli wewe ni wakukurupuka π π π ππΎGonga kwanza check kiwango cha UTI pia
We nae tangu uendage huko ni mwendo wa kutukorogea tu na kututukana na hicho kilugha chenu π π ππΎOne man Down! One Man Down!.. rescue team we need your fu...** assistance Copy!