chibalangunamchezo
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,542
- 2,645
mmmh, kwani dadaake umemgwaya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LAUGH OUT LOUDNini tena mbona umecheka kwa sauti?!
Lol = Laugh on Loud
Nipo tu mtani..Habari njema aiseemtani upo kumbe! habari za leo
Tamaa MbayaAcha tamaa
you are right hana hisia nae kabisa na ameamua kuoffload kwa mdogo wake aaah ...aaaahah labda alideclare asivyompenda mumewe hila mdogo wa mke( mtu )akaonekana kuwa na huruma na shemejiye akaulizwa kama vipi nikuwachie wewe kama veepe!?Sijui kuhusu sheria ila kimapenzi mkeo ame-prove kuwa hakupendi hata kidogo
Sijui kama na wewe umeligundua hilo
dawa gani? au chipsi yai?kuna dawa ya kupunguza kufanya sana
hapa umeandika mwenyewe?Ukweli kwa hali ilivyo uzalendo umenishinda, hata sijali jamii itasema nini mimi kuishi na ndugu wa damu sababu haya ni maisha yangu binafsi.
100%Tamaa Mbaya
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]Mwenye nayo Joseverest alichelewa, hahahahaahah
Mbona wewe hukujali jamii ukaolewa na rafiki wa mumeo au kisa wako alifariki ndo you think its different?Hata kama umedhamiria kufanya hilo,nikushauri tu usifanye hivyo! Utaleta maafa ya zamani si ya sasa,mtunzie heshima mkeo na familia yake,onyesha ustaarabu wako Mbele ya jamii huwezi kusema hujali jamii wakati sisi sote tunaishi ndani yake! Kama uzalendo ukikushinda basi tafuta mke wa pili mbali na familia hiyo
Hata kama Mimi nilikosea jamii haimaanishi kua sistahili huwaambia wengine wajaribu kuheshimu jamii wanaoishi Nazo na kitu kikubwa zaidi mume wangu alikua ni rafiki wa Boyfriend wangu,hakua ndugu yake wa damu ni urafiki tu ulioanzia kazini,lakini pia marehemu hakubahatika kunioa.Mbona wewe hukujali jamii ukaolewa na rafiki wa mumeo au kisa wako alifariki ndo you think its different?