Nataka kumuoa mdogo wa mke wangu, hii imekaaje kisheria?

Oh sawa
 
Anachokitafuta mkeo atakipata (kama story ni ya ukweli)
 
Sikushauri umchukue mdogo wake kwani kuchukua nyumba moja watu wawili sioni kama imekaa vizuri. Kama amekuruhusu tafuta tu mwadilifu kwani ninaona yeye anaogopa magonjwa. Oa hata wanne kama kipato kinaruhusu ili uridhike .Samahani kama ninawakwaza wakristu
 
Kwa uelewa wangu wa sheria za ndoa sidhani kama kuna tatizo kuoa dada yake na mkeo. Hata nikipitia prohibited relationship kwenye kifungu cha 14 cha sheria ya ndoa sioni kama kuoa dada wa mkeo ni moja ya prohibition relationship bali imekatazwa kuoa mama, bibi, au mtoto wa mkeo au aliyekuwa mkeo.

Labda shida ningejua hiyo ndoa yenu ya sasa ni aina gani? Ni official marriage iliyofungwa kufuata taratibu za kisheria msikitini, kanisani au bomani?
Au ni zile ndoa zisizo rasmi za kuchukuana na kuanza kukaa pamoja kama mke na mume yaani vimada (concubinage).
Hakuna ndoa bila cheti cha ndoa hizo zingine ni presumption tu. Kama mlifunga ndoa nadhani cheti chenu cha ndoa kitakuwa kimeeleza ni aina gani ya ndoa mliyonayo whether polygamous au ndoa ya mke mmoja na kama ni ndoa ya mke mmoja ukioa huyo mdogo wake itakuwa ni batili (null and void abinitio)
 
Kimila za kwetu huku ni ruksa mtu na ndugu yake kuolewa na mwanaume mmoja,
Kuna shida ya nguvu za kike lakini mlete nimpe tiba ya kupandisha nyege ili usimuoe mdogo wake


hahahahah kapeace unanifuerahisha ujue !dah we baadaye utakuwa mganga wa kienyej walah! dah hv na wanawak hamu huwa zinakuwa chini eh ? bas km ni hvyo ni wanawake weng sana wanaugua 'malazi' hayo aisee !nimecheka sana
 
Mkaze kwanza uone kama yaliyomo yamo.

Kuna mkuu wa chuo udsm aliyepita miaka kadhaa alikuwa kaoa mtu na dada yake.

Wana kwambia mavi hayana ncha lkn ukiyakanyaga lazima uchechemee
 

Dini zote , sheria za nchi , mila Na desturi, zinakataa kuoa ndugu wawili wanao Ishi, akifa mkeo unaweza Muna ndugu yake.
 
Katika makabira mengne hairuhsiwi ndugu kuolewa na mwanamme mmoja hata kutembea nao ni mwiko mfano kabila la kizigua huko Tanga, But katka dini hasa ya kiislam ni ruksa ila watu wengi kimtazamo hasa Africa wamekuwa hawalipendi swala hili ni bora kuoa mke kutoka familia nyingne.
Kwa kuwa mke kakuruhusu fanya hivyo make tayari ashajipanga kwa uke wenza na atafrah akipata huyo ndugu yake na ww hutapata sheeda
 
hahahahah kapeace unanifuerahisha ujue !dah we baadaye utakuwa mganga wa kienyej walah! dah hv na wanawak hamu huwa zinakuwa chini eh ? bas km ni hvyo ni wanawake weng sana wanaugua 'malazi' hayo aisee !nimecheka sana
Hilo ni janga sister, mada nyingi humu me zinalakamika eti ke nyingi zikikojoa hazitaki tena mpk after wiki, na unakuta mtu Bado ana miaka 20-40, je akifikia menopause itakuwaje!!!
 
Hilo ni janga sister, mada nyingi humu me zinalakamika eti ke nyingi zikikojoa hazitaki tena mpk after wiki, na unakuta mtu Bado ana miaka 20-40, je akifikia menopause itakuwaje!!!


shoga mie sio Dk ! hii nadhan inapelekea sana na mahusiano yako na men wako ! mume hakutreat poa hizo hisia za kurudia rudia nazipatia mtaa gan jaman !ah watutue
 
shoga mie sio Dk ! hii nadhan inapelekea sana na mahusiano yako na men wako ! mume hakutreat poa hizo hisia za kurudia rudia nazipatia mtaa gan jaman !ah watutue
Hii sasa ni kihisia lkn wapi wasioweza kuhandle kitanda kwa muda mrefu au kurudia rudia tendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…