Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Kwa nchi zetu hizi watu wa ovyo. Vyombo vya moto ni hatari lakini pikipiki ni hatari zaidi unakua hatarini mara elfu zaidi.
Watu wetu wengi wawapo barabarani hawafuati sheria ikichangia na ujifunzaji uendeshaji vyombo kiholela basi ni hatari tupu.
Nilisababishiwa ajali na mbweha mmoja, toka hapo nikaachana na pikipiki, unakua makini weee ila inatokea mpuuzi anakusababishia ajali. Sitosahau.
Watu wetu wengi wawapo barabarani hawafuati sheria ikichangia na ujifunzaji uendeshaji vyombo kiholela basi ni hatari tupu.
Nilisababishiwa ajali na mbweha mmoja, toka hapo nikaachana na pikipiki, unakua makini weee ila inatokea mpuuzi anakusababishia ajali. Sitosahau.