Nataka kununua Toyota Crown Althele

Nataka kununua Toyota Crown Althele

Yan jamii form bhna mtu anauliza swali lingine ww unampa maelezo na ushauri..! Jibuni swali alilo uliza bas mambo ya ist cjui nini na nini atajua ww mwenyew
Jib: crown athlete mjini inatembea km 7-9 kwa wastan kama miji ambayo haina folen bas utapata mpaka km 10/L. High way utapata 10-13km kutegemea na uzima wa gar na service, kuna zingine mpak 14 km inafika.
Service ya oil na filter 120,000/=
Tairi kuanzia 160,000/=
Shock up sijajua kwa anae jua anaweza kutuambia.
Vingine vyote ni nirmal tu kama toyota zingine tu. Ni gari nzuri mbio imo
Ukiendesha vzr hata haita kuumiza, nimenunua mwez wa pili huu tena kwa mtu na kamshahara kangu ka lak 5 sina mizunguko mingi na balance rpm bac nakula raha tu
Kote umeelezea vzuri ila Mshahara wa laki 5 hapo sikubali
 
Kote umeelezea vzuri ila Mshahara wa laki 5 hapo sikubali
Hapo nimekopa umebak lak tano na ishirini na point, ila utumish wa uma kuna extra duty, night na nina biashara ndogo ndogo ndio zinasaport kidogo, ila all in all ukimilik gari bac mungu nae anafungua milango utapata tu ela ya mafuta na hii mm ni gari yangu ya kwanza, zingine nilikua nagongea kwa wat
 
Why 2006 na sasa iv tuko 2023 ndg
Miaka 17 ni umri wa mtoto wa form 3 km sio form 4 afu ww unataka ununue gar yenye 17yrs

Ni mawazo yangu tu
Usijifanye Fundi kujua, watu wananunua Hino Ranger ya 1996 kwaajili ya biashara na gari bado kama yote vile
 
8055DBB5-DB0B-48A7-AB9E-5EF1EDB045AF.jpeg
 
Kapitie uzi wa “crown the japannese benz”

Watu wameshare views kibao kuhusu crown

Ushauri:nunua hiyo gari lakini

Kulingana na ombi lako jitahidi

Tafuta either 4GR kuanzia 2006 au
3GR 2004-2008

Hizi zote zina 6speed auto gearbox
Zinachanganya faster with good fuel efficiency

Achana na 4GR za 2004-2005

Na kama unaagiza mwenyewe japan

Check japanesevehicle ipo black moja kali 4GR 2006

CIF ni kama 10ml
TRA andaa 7,6ml

View attachment 2571064
Achana na 4GR za 2004-2005

Mkuu changamoto ya hizo ni nini?.maana naona nyingi ndio zinauzwa na kutumiwa na watu wengi

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Achana na 4GR za 2004-2005

Mkuu changamoto ya hizo ni nini?.maana naona nyingi ndio zinauzwa na kutumiwa na watu wengi

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app

Hazina ubaya

Ila nmesema hapo tofauti ni Geabox ina 5speed

So haichanganyi faster kama yenye 6speed
Pia fuel efficiency ni nzuri zaidi kene 6speed

So chukua 3GR au 4GR kuanzia 2006 utaenjoy
 
Why 2006 na sasa iv tuko 2023 ndg
Miaka 17 ni umri wa mtoto wa form 3 km sio form 4 afu ww unataka ununue gar yenye 17yrs

Ni mawazo yangu tu
Ninamiliki gari Toyota model ya 2003 yenye thamani ya 18mil. Je, hiyo ya angalau 2015, unadhani gharama yake itakuwa imezidiana kama milioni 2-3? Uchumi wetu ndio unaamua umiliki gari yenye umri gani.
 
Back
Top Bottom