MILL8
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 1,837
- 879
Sasa mbona ukaja kupost humu si ungewatafuta huko mtaani kwenuhivi mbona tuna imani za ajabu hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona ukaja kupost humu si ungewatafuta huko mtaani kwenuhivi mbona tuna imani za ajabu hivi?
kwani wewe imekuathiri nini? ama ni mwendelezo tu wa hasira za umasikini wakoSasa mbona ukaja kupost humu si ungewatafuta huko mtaani kwenu
Huo utajiri wako umeshindwa kukusaidiakwani wewe imekuathiri nini? ama ni mwendelezo tu wa hasira za umasikini wako
Hapana ni matamanio yangu tu nasikia wanatulia sana kwenye ndoa sio kama hawa viumbe wengineWanafichwa sana.
Kuna miaka walianzishiwa kituo sikumbuki ni mkoa gani, fanya utafiti.
Isije kuwa umepewa ushauri na mganga, hapo sipo.
Njoo basi nikuoe wewe kama unaona wivu mimi kutaka albino,,, uje na mafuta utakayopenda kutumiaHuo utajiri wako umeshindwa kukusaidia
Muulize Haji Manara.Nasikia eti..! Albino huwa hawafi.. hupoteaga tu. Kuna ukweli wowote, aiyewahi thibitisha hili!??
Tumia akili,sio kila mtu shoga Fala niniNjoo basi nikuoe wewe kama unaona wivu mimi kutaka albino,,, uje na mafuta utakayopenda kutumia
Tumia akili,sio kila mtu shoga Fala
Bas acha wivuTumia akili,sio kila mtu shoga Fala nini
Una elimu gani?Nasikia eti..! Albino huwa hawafi.. hupoteaga tu. Kuna ukweli wowote, aiyewahi thibitisha hili!??
How does their "thing" test for those who have ever done it?Weekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.
Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia, leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa
Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...
DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Hiyo namba E kabisa zero KM
Ulishafanikiwa au bado???Hiyo namba E kabisa zero KM
Watu wanataka kukutia matataniKwanini wameufufua huu uzi kipindi hiki kigumu kwa wenye ualbino? au wanataka kunichongea