Nataka kuoa jini

Nataka kuoa jini

3,4,5,6,
Sio kila jini ni tajiri n majini wengi ni machokoraa na wanapenda dezo yan kula bure na kulala bure na kumalizwa haja zao bure ndio maana matatizo ya watu kuingiwa na MASHETANI YA KIJINI yamekuwa mengi

Na wanapata maambukizo ya zinaa ,

Ukipata jini shoga utamkubali??

Mramba jr.
 
Huyo hana shida ya kuoa jini ndugu zangu... Hebu kumbukeni taaluma yenu ya fasihi.... Huyo anaonekana vibinti vinamtolea nje sana..... Sasa kaamua kuwatusi kifasihi.... Lakini mimi namuonya.. USIMTUSI MAMBA WAKATI HUJAVUKA MTO....hakuna mwanamme mwenye akili timamu ambaye Hahitaji mwanamke. Wanawake wanahitaji wanaume waliokamilika.... LA sivyo utaishia kuoa 'jini'.
 
Subiri aje mmoja then baada ya kumpata utupe feedback kama umejuta au la
 
Wakuu nina hamu sana ya kuoa jini
Sababu kuu zilizopelekea kufikia uamuzi huu ni hizi

1)Majini hayachepuki

2)Majini hayaombi hela

3)Majini hayana magonjwa ya zinaa kama vile ukimwi

4)Majini yanajua kuhonga sana pesa So nitakuwa milionea kama Bakhresa

5)Nitakuwa nafanikiwa sana katika mishe zangu kama vile mitihani nitakuwa napasua saana kwa kuwa swali likinishinda mke wangu anakuja kunijazia

6)Nitakuwa na ulinzi popote pale niendapo kuanzia ulinzi wa ulimwengu wa giza mpaka ulimwengu wa nuru

Ulimwengu wa giza hapa namaanisha wachawi hawataweza kunifata hata kidogo na wakithubutu tu mke wangu atawamaliza

Ulimwengu wa nuru hapa namaanisha wezi ,majambazi nk hawataweza kunifanya chochote hivyo basi sitakuwa na haja ya kuajili watu wa ulinzi wala bodyguard wa aina yoyote ile


Pia kingine uzuri wa majini ni kuwa nikitaka kitendo cha unyumba nitakipata muda wowote ule ninao hitaji ,majini hayasumbui hovyo kugawa unyumba So ntaachoma zangu tu udi then naamuita mke wangu ananipa unyumba au lah ananibeba mpaka ujinini naenda kula vyakula vya kule ambavyo wenyewe waanaita Chane kiroho saafi yani



Naimani ndoto yangu ya kupata jini itatimia .
Be careful with what your wishing for. Usiandike kitu kutufurahisha sisi Badae ukapata madhara ukiwa peke yako, sio kila member humu jf ni binadamu. NOTE THAT.
 
Pole sana mkuu ukilikuta bahari utasaga meno na kilio, ni vizuri usioe kabisa maana ukikiuka tu utaipata frsh.
 
Wakuu nina hamu sana ya kuoa jini
Sababu kuu zilizopelekea kufikia uamuzi huu ni hizi

1)Majini hayachepuki

2)Majini hayaombi hela

3)Majini hayana magonjwa ya zinaa kama vile ukimwi

4)Majini yanajua kuhonga sana pesa So nitakuwa milionea kama Bakhresa

5)Nitakuwa nafanikiwa sana katika mishe zangu kama vile mitihani nitakuwa napasua saana kwa kuwa swali likinishinda mke wangu anakuja kunijazia

6)Nitakuwa na ulinzi popote pale niendapo kuanzia ulinzi wa ulimwengu wa giza mpaka ulimwengu wa nuru

Ulimwengu wa giza hapa namaanisha wachawi hawataweza kunifata hata kidogo na wakithubutu tu mke wangu atawamaliza

Ulimwengu wa nuru hapa namaanisha wezi ,majambazi nk hawataweza kunifanya chochote hivyo basi sitakuwa na haja ya kuajili watu wa ulinzi wala bodyguard wa aina yoyote ile


Pia kingine uzuri wa majini ni kuwa nikitaka kitendo cha unyumba nitakipata muda wowote ule ninao hitaji ,majini hayasumbui hovyo kugawa unyumba So ntaachoma zangu tu udi then naamuita mke wangu ananipa unyumba au lah ananibeba mpaka ujinini naenda kula vyakula vya kule ambavyo wenyewe waanaita Chane kiroho saafi yani



Naimani ndoto yangu ya kupata jini itatimia .
21466ac2ef95e42eb1f0b9c256b104dd.jpg
 
Mfate mkuu wa mkoa akuagizie pa kupata Jini, yeye ndo nlisikia akitangaza habari za majini juzi siuji jana!!!!
 
Duuuh! Maisha kweli magumu kwa ndugu yetu huyu!
 
Back
Top Bottom