sulemramba
Member
- Feb 10, 2017
- 51
- 18
3,4,5,6,
Sio kila jini ni tajiri n majini wengi ni machokoraa na wanapenda dezo yan kula bure na kulala bure na kumalizwa haja zao bure ndio maana matatizo ya watu kuingiwa na MASHETANI YA KIJINI yamekuwa mengi
Na wanapata maambukizo ya zinaa ,
Ukipata jini shoga utamkubali??
Mramba jr.
Sio kila jini ni tajiri n majini wengi ni machokoraa na wanapenda dezo yan kula bure na kulala bure na kumalizwa haja zao bure ndio maana matatizo ya watu kuingiwa na MASHETANI YA KIJINI yamekuwa mengi
Na wanapata maambukizo ya zinaa ,
Ukipata jini shoga utamkubali??
Mramba jr.