Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Aa
Aah poa poa... Sema jamaa wanapiga kazi... Ukifanya kazi na Msukuma kuna mawili, aidha kesho Boss anakufukuza kazi... Au upunguziwe mshahara ๐๐๐Nilimaanisha kituo cha kulea watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu.