Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Huyo jamaa hapo sijui anawaza nini![]()
Mwenzako sijutii kuoa msukuma, kama hapo ni breakfast tu....ndoa tamu aisee..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa hapo sijui anawaza nini![]()
Mwenzako sijutii kuoa msukuma, kama hapo ni breakfast tu....ndoa tamu aisee..
unataka kuoa mtu kisha chakula chao hujui? seriouslyWanajamvi, nataka kuoa Usukumani. Demu mwenyewe yuko hapa Dar lakini tukikutana anakula kuliko mimi. Huwa wanakula nini na nijiandaye kwa lipi kwenye hili la kula?
Anatafakari kama atashiba huo ugali au waongeze tena.Huyo jamaa hapo sijui anawaza nini
Jamaa si alimnunulia chips yai akadhani atashiba, kufika geto dem akasonga ugaliAnakula kuliko wewe lakini hujui anakula nini!