mwanajamii mpya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 554
- 445
Ukiowa mwalimu ni sawa na umeowa mwanamke na ualimu wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unaishia kutabasamu tu, huniambii chochote, anyway si mbaya , usiku mwemaAah aah aah
Ukiowa mwalimu ni sawa na umeowa mwanamke na ualimu wake.
Nakujaaaa[emoji30]nitamwambia baada ya kikao kuisha
same to youNaona unaishia kutabasamu tu, huniambii chochote, anyway si mbaya , usiku mwema
[emoji4]Nakujaaaa[emoji30]
Kwani hana Mume huyo Mama[emoji848]
Mimi hata sifahamu
Yap! Utasikia mimi nataka kuona nesi, mimi askari ili mradi kila mtu Anataka mtu wa gani fulaniProfession mhm pia
Uwe tayari kufundishwa na kumtii Mwl wako.Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
Anataka mtu wa fani fulani
Usikariri,wapo wengi tu single mother's watu wana kula na kusepa....labda huko msingi lkn sekondari wengi wanazeeka bila kufanya vya maana.
Tabia njema ndio mwanadamu anayejitambua sasa wewe unaoa kisa ni mwalimu je kama ni daktari na anajua kuishi na mwanaume hapa jirani kwetu kuna mwanadada ni mwalimu ni malaya anaingiza watu tokea alfajiri mpaka alfajiri kuna mwingine yupo kimya naanafuata kilichomleta ndio maana sio wote wanaofanya kazi bar ni malaya umeona eh.Habar zenu wanabodi. Kumekuwa na fununu kuwa walimu aka maticha ndo watulivu kwa ndoa, hawana mambo mengi na ni watiifu ndomana wanaolewa sana. Yaani wanajua kaa na mwanaume
Jamani kwa wale ambao mmeoa maticha nipeni hints ni kweli wanayosema kuhusu maticha?.
hadi apitie cv yake.Hakikisha alifaulu vizuri masomo yake ya o'level na high school
ndukiMimi ni askari aisee,vipi hapo am I a wife material??? [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Inategemea na mwanaume mwnyw alivyo ndo kufokewa kutatokea, ajiandae na kusaidia kusaisha mitihan piawalimu wana tabia ya kufokea fokea wanaume wao
Sasa we unaolewa na mchinjaji unategemea nini huko ndani ya nyumba 😂😂😂Kumbe siku hizi kudumu ama kutodumu kwenye ndoa inategemea na profession ya mtu? sikujua hili nilidhani inategemea na mtu mwenyewe. [emoji30]