Benbulugu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 852
- 1,236
Je,ni maswala gani ya msingi nihakikishe nayazingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa ya namna hii,ndio kwanza tuna miezi mitatu ya mahusiano hatujafunga ndoa,mm nayy sotena miaka 32.sote wakristo.ushauri wenu unahitajika hapa.
Nimekua na mahusiano mengi ila najikuta kwahuyu dada kama niko SEHEMU salama hasa maswala ya heshima na utii aidha namaswala ya fedha pia,emekua mshauri mzuri hata katika maadili naona yuko vizuri.
Naona wanangu wakiwa na mamawakambo aliye mtiifu na mnyenyekevu.pamoja na changamoto zote na maoni kua tofauti tofauti ila bado najikuta kwahuyu single Maza au ndio kurogwa kwenyewe wakuu.
Nimekua na mahusiano mengi ila najikuta kwahuyu dada kama niko SEHEMU salama hasa maswala ya heshima na utii aidha namaswala ya fedha pia,emekua mshauri mzuri hata katika maadili naona yuko vizuri.
Naona wanangu wakiwa na mamawakambo aliye mtiifu na mnyenyekevu.pamoja na changamoto zote na maoni kua tofauti tofauti ila bado najikuta kwahuyu single Maza au ndio kurogwa kwenyewe wakuu.