Nataka kuoa single mother wawatoto wawili, hata mimi nina watoto wawili pia

Nataka kuoa single mother wawatoto wawili, hata mimi nina watoto wawili pia

Kipi hujaelewa Mkuu?
Niulize nikujibu
Umesema mna watoto watatu from the failed marriages and every one of you are living separately and still nyie niwanandoa ,umeniconfuse hapo mkuu
 
Umesema mna watoto watatu from the failed marriages and every one of you are living separately and still nyie niwanandoa ,umeniconfuse hapo mkuu
Hapana
Kila mmoja ana watoto watatu kutoka kwenye ndoa yake ya kwanza
 
Tuanzie hapo kwenye watoto wawili kila mmoja. Single mother na single father ni tofauti kidogo. Mwanaume ndie anabeba gharama za malezi ya watoto kwaiyo mwanamke akija kwako hata akikukuta tayari una watoto hataingia gharama za malezi lakini akija kwako na watoto wake maana yake wewe utaongezewa gharama za malezi ya watoto wake pia, upo tayari kulea hao watoto wote wanne bila kuwabagua mahitaji yao kuanzia shule, matibabu n.k?

Tuje kwenye muda wa mahusiano yenu, miezi mitatu ni michache sana kumfanyia surveillance mwanamke kwa lengo la kumuoa.

Kuna dhiaka ndogo ndogo za walimwengu na mateso ya kisaikolojia utayapata kuishi na mwanamke ambae anakuja kwenye mji wako na watoto wake, ndio maana hata wewe mwenyewe akili inasita ndio maana umekuja hapa kuandika uzi kujiridhisha, swali ni je utaweza kuishi na haya mateso ya kisaikolojia siku zote za ndoa yenu?

Uyo mwanamke yupo kwenye declining phase ya ubora wake, vigezo vya umri na usingle mother vinamuhukumu kwenye soko la mahusiano, karata pekee aliyobakiwa nayo ni kuwa wife material(hata kwa kuigiza). Huo mwenendo wake ambao so far umekuridhisha una uhakika ndio tabia zake au pretend tu? Katika hiki kipengere nakushauri ufatilie pia na past yake
Do umeandika mantiki zako kiphyschologia zaidi na kimpangilio. Nafikiri majibu uliyompatia yatamsaidia kufanya maamuzi sahihi
 
D

Dah kaka mkubwa wewe itakuwa ni professor.... Au ni politician 🤔
Maana hili jibu ulompatia mwamba ni zaidi ya jibu!!
Big up sana, yani asiposcreen shot hii comment yako akaenda kuprint na kuweka ukutani ntamshangaa Sana😁

Tena asisahau kuweka lamination kabisa!!
Akitaka ushauri mwingine bila kuuweka huu akilini, lazima arudi na uzi mwingine hapa akiwa analia na kumtafuta mwanasheria au mganga
Kumbe unamaono kama yangu. Comment hii ni kiboko, yaani mpangilio wa kimantiki, hoja zimetulia na kufikilisha, kwenye kila hoja ufafanuzi umetolewa wa kwa nini hoja au swali liko hivyo
 
Acha ujinga

Inasikitisha kuona kila siku wanaume wanashusha standards za wanawake wa kuwaoa

Kweli single mom ni mwanamke wa kumuoa?

Mbweha mkubwa wewe
Mwanamke ambaye sio single mother atakubali kuolewa na single father?
 
Hapana
Kila mmoja ana watoto watatu kutoka kwenye ndoa yake ya kwanza
Kwahyo kaka mkuu,kila mmoja anawatoto watatu kivyake vyake kabla ya kuamua kuishi pamoja,its the great experience kutoka kwako and I hope maisha yanasonga kila mmoja anabarikiwa
 
Kwahyo kaka mkuu,kila mmoja anawatoto watatu kivyake vyake kabla ya kuamua kuishi pamoja,its the great experience kutoka kwako and I hope maisha yanasonga kila mmoja anabarikiwa
Mi ni dada.
Yes maisha yanasonga very well.
Watoto wetu wanajua tht we are dating, huwa tuna nyakati nao za pamoja.
 
Je,ni maswala gani ya msingi nihakikishe nayazingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa ya namna hii,ndio kwanza tuna miezi mitatu ya mahusiano hatujafunga ndoa,mm nayy sotena miaka 32.sote wakristo.ushauri wenu unahitajika hapa.

Nimekua na mahusiano mengi ila najikuta kwahuyu dada kama niko SEHEMU salama hasa maswala ya heshima na utii aidha namaswala ya fedha pia,emekua mshauri mzuri hata katika maadili naona yuko vizuri.

Naona wanangu wakiwa na mamawakambo aliye mtiifu na mnyenyekevu.pamoja na changamoto zote na maoni kua tofauti tofauti ila bado najikuta kwahuyu single Maza au ndio kurogwa kwenyewe wakuu.
Bwashe achaga ujinga basi. Fiansi ana watoto wawili halafu katika maadili yupo sawa kweli???
lakini pia unasema mna miezi mitatu ya mahusiano au miaka mitatu? kama ni mienzoi mitatu acha kwanza huo mpango wa kufunga ndoa. Kaa naye hivo hivo kwa miaka mitatu ili kila moja ajue tabia za mwenzake. ukifunga hiyo ndoa kwa pupa utakuja kulia.
 
Je,ni maswala gani ya msingi nihakikishe nayazingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa ya namna hii,ndio kwanza tuna miezi mitatu ya mahusiano hatujafunga ndoa,mm nayy sotena miaka 32.sote wakristo.ushauri wenu unahitajika hapa.

Nimekua na mahusiano mengi ila najikuta kwahuyu dada kama niko SEHEMU salama hasa maswala ya heshima na utii aidha namaswala ya fedha pia,emekua mshauri mzuri hata katika maadili naona yuko vizuri.

Naona wanangu wakiwa na mamawakambo aliye mtiifu na mnyenyekevu.pamoja na changamoto zote na maoni kua tofauti tofauti ila bado najikuta kwahuyu single Maza au ndio kurogwa kwenyewe wakuu.
siku akipeleka watoto kusalimia baba yao na akalala huko huko usikasirike
 
Oa tu.mkuu utabarikiwa na Mnyazi Mungu..

Hakikisha tu kwanza ex wake hayupo kabisa kwenye series ya maisha yake

Mimi Nina singlw mother mmoja hapa ana watoto 7, huwa sioni Aibu kumpikia sometimes, maana ana Life gumu kinoma..

Anapambana sana na maisha ila ndio hivyo Rizki imemkataa😭😭

Screenshot_20241009-153637.jpg
 
Je,ni maswala gani ya msingi nihakikishe nayazingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa ya namna hii,ndio kwanza tuna miezi mitatu ya mahusiano hatujafunga ndoa,mm nayy sotena miaka 32.sote wakristo.ushauri wenu unahitajika hapa.

Nimekua na mahusiano mengi ila najikuta kwahuyu dada kama niko SEHEMU salama hasa maswala ya heshima na utii aidha namaswala ya fedha pia,emekua mshauri mzuri hata katika maadili naona yuko vizuri.

Naona wanangu wakiwa na mamawakambo aliye mtiifu na mnyenyekevu.pamoja na changamoto zote na maoni kua tofauti tofauti ila bado najikuta kwahuyu single Maza au ndio kurogwa kwenyewe wakuu.
Tulia tulia unatengeneza mabomu
 
Back
Top Bottom