Nataka kuoa single mother wawatoto wawili, hata mimi nina watoto wawili pia

Nataka kuoa single mother wawatoto wawili, hata mimi nina watoto wawili pia

Nafurahia ushauri mnaonipatia hapa wanajamii forum,watoto wote wa baba mmoja,aliolewa ndoa ya kimila nahuyo jamaa kukatokea mgogoro mkubwa wa kifamilia na wawe zake huyu dada all in all ushauri nimeuenda sana ,asanteni sana.
Umesema ulitokea ugomvi mkubwa sana kisha aka decide kuachika, lakini swala la migogoro ya kifamilia ni jambo la kawaida na hutokea.

Je, kwanini hakutafuta njia chanya ya kuleta solution ya huo ugomvi ili kutofikia hatua ya kuachana?

Je ukitokea kwako akapata changamoto kama aliyokutana nayo Kwenye ndoa yake ya kwanza una uhakika kwamba hatokuacha kama alivyofanya mwanzo?

Anyways, hayo ni maswali tu hayana maana sana kimsingi ninakushauri umuoe huyo binti na ninakutakieni kheri mkamtangulize Mungu ili familia yenu ikawe imara nyakati zote!
 
Dahhhh,hivi suala la mm kua nawatoto wawili nje ya ndoa tena mamatofauti inaaonekana sio zito,by the way malezi ya watoto wangu miongoni mwa jambo nnalolitazama pia
 
Kwa upande wangu wazazi wenzangu niliokutana nao hatukua tunaendana tabia,magomvi na mitazamo juu ya maisha haikua sawa ,isitoshe suala la utiifu na heshima halikuwepo, mwanamke wangu wa mwisho huyu hakua anafatisha maelekezo yangu,mm kama mmewe.kwa upande wake yy alitelekezwa na aliyekua baba watoto wake.
Kumbuka huyo jamaa naye alimtelekeza kwa kuwa alikuwa hafuati maelekezo yake,hakuna Mwanaume anamuacha Mwanamke aliye mzalisha watoto 2-3bila sababu.
 
Mama wa hawa watoto wako nae si ni Singo Maza na ana watoto wawili vile vile kwanini usimuoe au unaona watoto watakua wachache we unataka jumla wa4..? Basi ongeza tena wawili uko uzinzini kwako kisha uendelee na Usingo Faza
 
Mama wa hawa watoto wako nae si ni Singo Maza na ana watoto wawili vile vile kwanini usimuoe au unaona watoto watakua wachache we unataka jumla wa4..? Basi ongeza tena wawili uko uzinzini kwako kisha uendelee na Usingo Faza
Ni kweli ulivyoongea ni Bora amuoe mama watoto wake kwa sababu kila binadamu anamapungufu
 
Hapo juu kaeleza huyo single mama kapata watoto hao ndani ya ndoa.
Nimemuuliza huyo mwanaume aliyemzalisha yupo ama kuna kaburi lake?
Nasubiri majibu hili nijue tunamshauri mtu ama chizi.
Baba watoto wake yupo ameoa anafamilia yake nyingine SEHEMU nyingine.
 
Mleta mada, soma kwa makini sana huu ushauri kisha tafakari halafu chukua hatua,

Hapa tutakupa kila aina ya ushauri but at the end, the rest it's up to you.
Sure am foster father ila hua sifatilii mambo ya yf na mzazi mwenzie na sitak kujua kwa sababu italeta shida till now tunalea mtt wetu and i have one kid apart from yeye tunaish vzuri tu maisha yanasonga mtt wake aliyezaa na mtu mwingine mwanangu na mtt wangu nikiyezaa na my ex-wif ni mwanae tuko poa sana.
 
Mama wa hawa watoto wako nae si ni Singo Maza na ana watoto wawili vile vile kwanini usimuoe au unaona watoto watakua wachache we unataka jumla wa4..? Basi ongeza tena wawili uko uzinzini kwako kisha uendelee na Usingo Faza
Mmoja wa mzazi mwenzangu ameolewa kwingine,mmoja wa mzazi mwenzangu mwingine tumedumu mika minne shida nimagomvi na kutokua mtiifu au kufuatisha maelekezo yangu ,ni querrlesome an irritative woman most of the time.
 
Binafsi mimi sitaoa single mother hata kama mtoto ni wangu,kama ni mjane oa mkuu ila single mother ni kirusi kinachoua polepole,jifunze ama nenda kaangamie
 
Jambo la msingi la kuzingatia ni unatakiwa ujue mbali na hao watoto wawili uliomkuta nao ambao kila mmoja na Baba yake zipo pia mimba alitoa
Watoto wote baba mmoja,mm ndie nnawatoto wawili mama tofauti
 
Baba watoto wake yupo ameoa anafamilia yake nyingine SEHEMU nyingine.
Kwaiyo alimuacha mke mtii mwenye maono ya kujenga familia na mtizamo thabiti wa masuala ya fedha akaamua kubeti sehemu nyingine😳.
Mkuu hongera kwa kuokota dodo chini ya mlingoti
 
Taratibu kaka!Unazungumzia heshima na utii kutoka kwa single mama,ndani ya uhusiano wa miezi mitatu?Jipe muda,wanakuwaga watiifu wanaposaka ndoa.Akiipata hakuna rangi hautoiona.

Halafu akija na watoto wawili maana yake wewe utakuwa na watoto wanne wa kuhudumia,uko tayari kubeba gharama zote hizo?
 
Sure am foster father ila hua sifatilii mambo ya yf na mzazi mwenzie na sitak kujua kwa sababu italeta shida till now tunalea mtt wetu and i have one kid apart from yeye tunaish vzuri tu maisha yanasonga mtt wake aliyezaa na mtu mwingine mwanangu na mtt wangu nikiyezaa na my ex-wif ni mwanae tuko poa sana.
Elezea kidogo hapa mkuu,hata wewe una the same story like me sio
 
Elezea kidogo hapa mkuu,hata wewe una the same story like me sio
Hamna shida wala nn although tu my ex yf wanajuana and wamefollow to each other huko instagram basi vijembe but nilizuia ilo bahati mbya uf akapoteza account yake ya zamani ambayo walikua wamefollow to each she has new accounr nashukuru hawajafuatana ila meweeza kuzuia hilo hua napata tabu kidgo maneno maneno lakin am strong man nazuia hilo ili lisiwa affect watt uzuri tunalea mtt tuliezaa tu hawa wengine kila mtu anakaa kwa bibi yake what we do tuna provide needs zao although sichangiii asilimia 90% ya small isssue as foster father manake baba wa mtt wa my yf right now yupo na yeye ana familia yake so i think anatimiza majukumu yake as a father wote tunaheshimiana so sijawah ingia kwnye mgogoro kiivyo ukileta hisia snaa utaishi kwa shida mno. km ww una the same story km u need to wake up uwe strong usokubali kuwa lege lege weka mipaka uta win
 
Back
Top Bottom