Nataka kuoa single mother wawatoto wawili, hata mimi nina watoto wawili pia

Nataka kuoa single mother wawatoto wawili, hata mimi nina watoto wawili pia

Je,ni maswala gani ya msingi nihakikishe nayazingatia kabla ya kuingia kwenye ndoa ya namna hii,ndio kwanza tuna miezi mitatu ya mahusiano hatujafunga ndoa,mm nayy sotena miaka 32.sote wakristo.ushauri wenu unahitajika hapa.
Nimekua na mahusiano mengi ila najikuta kwahuyu dada kama niko SEHEMU salama hasa maswala ya heshima na utii aidha namaswala ya fedha pia,emekua mshauri mzuri hata katika maadili naona yuko vizuri .naona wanangu wakiwa na mamawakambo aliye mtiifu na mnyenyekevu.pamoja na changamoto zote na maoni kua tofauti tofauti ila bado najikuta kwahuyu single Maza,au ndio kurogwa kwenyewe wakuu.
Safi tu mwanetu ndio maana ya BOTH TEAM TO SCORE 😂😂😂
 
Maswali kwako:-

je, hao watoto amezaa na mwanaume mmoja au kila Mtoto ana baba yake?

Na kama watoto wote ni baba mmoja huyo baba yuko hai?/ mahusiano yao yakoje?

Kama watoto aliwapata kwa wanaume tofauti je, kwanini mume wa kwanza azae nae amuache kisha wa pili hivyo hivyo!?

Umesema yuko na heshima, utii n.k haya mambo ni mazuri sana ila miezi mitatu ni michache sana, hapo inabidi uwe makini sana na uendelee kumsoma na uhakikishe pasipo shaka kuwa kweli yuko hivyo au anaigiza ili a win ndoa.
 
Kwa upande wangu wazazi wenzangu niliokutana nao hatukua tunaendana tabia,magomvi na mitazamo juu ya maisha haikua sawa ,isitoshe suala la utiifu na heshima halikuwepo, mwanamke wangu wa mwisho huyu hakua anafatisha maelekezo yangu,mm kama mmewe.kwa upande wake yy alitelekezwa na aliyekua baba watoto wake.
vipi nahisi kama uyu unayetaka kumuoa ana vigezo unavyohitaji
kama anavyo fanya maisha kaka mkubwa
 
Ewaaah.!! Hapo oa wote mshapigwa matukio na wote mmeanza mechi kila mmoja ana magoli y’a kuanzia..!
Hapo kupambania ubingwa hiyo ndoa nzuri wote makamanda wa vita.!!

Usinisahau kadi nije kula pilau mkuu 😜
 
Tuanzie hapo kwenye watoto wawili kila mmoja. Single mother na single father ni tofauti kidogo. Mwanaume ndie anabeba gharama za malezi ya watoto kwaiyo mwanamke akija kwako hata akikukuta tayari una watoto hataingia gharama za malezi lakini akija kwako na watoto wake maana yake wewe utaongezewa gharama za malezi ya watoto wake pia, upo tayari kulea hao watoto wote wanne bila kuwabagua mahitaji yao kuanzia shule, matibabu n.k?

Tuje kwenye muda wa mahusiano yenu, miezi mitatu ni michache sana kumfanyia surveillance mwanamke kwa lengo la kumuoa.

Kuna dhiaka ndogo ndogo za walimwengu na mateso ya kisaikolojia utayapata kuishi na mwanamke ambae anakuja kwenye mji wako na watoto wake, ndio maana hata wewe mwenyewe akili inasita ndio maana umekuja hapa kuandika uzi kujiridhisha, swali ni je utaweza kuishi na haya mateso ya kisaikolojia siku zote za ndoa yenu?

Uyo mwanamke yupo kwenye declining phase ya ubora wake, vigezo vya umri na usingle mother vinamuhukumu kwenye soko la mahusiano, karata pekee aliyobakiwa nayo ni kuwa wife material(hata kwa kuigiza). Huo mwenendo wake ambao so far umekuridhisha una uhakika ndio tabia zake au pretend tu? Katika hiki kipengere nakushauri ufatilie pia na past yake
Asante sana kwa maelezo yaliyoshiba mkuu, ubarikiwe sana,.
 
Tuanzie hapo kwenye watoto wawili kila mmoja. Single mother na single father ni tofauti kidogo. Mwanaume ndie anabeba gharama za malezi ya watoto kwaiyo mwanamke akija kwako hata akikukuta tayari una watoto hataingia gharama za malezi lakini akija kwako na watoto wake maana yake wewe utaongezewa gharama za malezi ya watoto wake pia, upo tayari kulea hao watoto wote wanne bila kuwabagua mahitaji yao kuanzia shule, matibabu n.k?

Tuje kwenye muda wa mahusiano yenu, miezi mitatu ni michache sana kumfanyia surveillance mwanamke kwa lengo la kumuoa.

Kuna dhiaka ndogo ndogo za walimwengu na mateso ya kisaikolojia utayapata kuishi na mwanamke ambae anakuja kwenye mji wako na watoto wake, ndio maana hata wewe mwenyewe akili inasita ndio maana umekuja hapa kuandika uzi kujiridhisha, swali ni je utaweza kuishi na haya mateso ya kisaikolojia siku zote za ndoa yenu?

Uyo mwanamke yupo kwenye declining phase ya ubora wake, vigezo vya umri na usingle mother vinamuhukumu kwenye soko la mahusiano, karata pekee aliyobakiwa nayo ni kuwa wife material(hata kwa kuigiza). Huo mwenendo wake ambao so far umekuridhisha una uhakika ndio tabia zake au pretend tu? Katika hiki kipengere nakushauri ufatilie pia na past yake
Napigilia msumari wa pili, I second
 
Ewaaah.!! Hapo oa wote mshapigwa matukio na wote mmeanza mechi kila mmoja ana magoli y’a kuanzia..!
Hapo kupambania ubingwa hiyo ndoa nzuri wote makamanda wa vita.!!

Usinisahau kadi nije kula pilau mkuu 😜
Uende kula pilau kwenye sherehe ya ndoa ya single mother?
Single mama kabisa kabisa unaamua kumuoa kwa kulipa mahali na kufanya sherehe?
Acha kumtwisha ujinga mwenzako.
 
Owa tu,lakini hawo watoto wako wawili tafuta mahali kama ni kwa bibi yao,au popote ambako watakuwa salama,maana hapo wewe utaishi vizuri lakini nyuma ya pazia hawo watoto watakuwa wapo gerezani.
 
Ana watoto wawili nje ya ndoa halafu unatuambia kuwa kwenye maadili yupo vizuri,taratibu naanza kuamini kuwa uchawi upo na warogwaji wapo.
Anamuonea huruma hua wanabadirikia mbele ya safari hapo mwanzo wanakua km malaika km hawajawahi kubanduliwa, au nasema uongo To yeye?
 
Maswali kwako:-

je, hao watoto amezaa na mwanaume mmoja au kila Mtoto ana baba yake?

Na kama watoto wote ni baba mmoja huyo baba yuko hai?/ mahusiano yao yakoje?

Kama watoto aliwapata kwa wanaume tofauti je, kwanini mume wa kwanza azae nae amuache kisha wa pili hivyo hivyo!?

Umesema yuko na heshima, utii n.k haya mambo ni mazuri sana ila miezi mitatu ni michache sana, hapo inabidi uwe makini sana na uendelee kumsoma na uhakikishe pasipo shaka kuwa kweli yuko hivyo au anaigiza ili a win ndoa.
Nafurahia ushauri mnaonipatia hapa wanajamii forum,watoto wote wa baba mmoja,aliolewa ndoa ya kimila nahuyo jamaa kukatokea mgogoro mkubwa wa kifamilia na wawe zake huyu dada all in all ushauri nimeuenda sana ,asanteni sana.
 
Uende kula pilau kwenye sherehe ya ndoa ya single mother?
Single mama kabisa kabisa unaamua kumuoa kwa kulipa mahali na kufanya sherehe?
Acha kumtwisha ujinga mwenzako.
Acha uchawi 😂😂
Ndoa ni ndoa kikubwa maelewano na kupendana.!
Hao wote wamekutana ma single tatizo liko wapi??
 
Ana watoto wawili nje ya ndoa halafu unatuambia kuwa kwenye maadili yupo vizuri,taratibu naanza kuamini kuwa uchawi upo na warogwaji wapo.
Mm ndie nnawatoto wawili nje ya ndoa mkuu,yy amepata watoto wote wawili wakiume ndani ya ndoa wakwangu niwakike wote mkuu.
 
Mm ndie nnawatoto wawili nje ya ndoa mkuu,yy amepata watoto wote wawili wakiume ndani ya ndoa wakwangu niwakike wote mkuu.
Achana na hiyo bishara kafanye vitu vingine.....Tafuta katoto ka af mbili uwe unakata kiu.
 
Acha uchawi 😂😂
Ndoa ni ndoa kikubwa maelewano na kupendana.!
Hao wote wamekutana ma single tatizo liko wapi??
Hapo juu kaeleza huyo single mama kapata watoto hao ndani ya ndoa.
Nimemuuliza huyo mwanaume aliyemzalisha yupo ama kuna kaburi lake?
Nasubiri majibu hili nijue tunamshauri mtu ama chizi.
 
Jilipue tu mkuu. Hapo mechi haijaanza kila timu ina bao mbili za mezani. Maisha ndio haya haya
 
Dahhhh,hivi suala la mm kua nawatoto wawili nje ya ndoa tena mamatofauti inaaonekana sio zito,by the way malezi ya watoto wangu miongoni mwa jambo nnalolitazama pia
 
Back
Top Bottom