Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

Waoaji tuko hapa town unaendaje huko? Piga chini, halafu tutayajenga niko hapa salasala , nitakupa uhuru wote
 
Waoaji tuko hapa town unaendaje huko? Piga chini, halafu tutayajenga niko hapa salasala , nitakupa uhuru wote
mtu mwenyewe ngumi mkononi hakuna Cha kutoa uhuru Wala nn
wee jiandae kufunguliwa kesi nachoomba isiwe tu ya mauaji😂
 
Usijali sio lazima ndoa tuta kupa mimba tu upate mtoto .uendelee na maisha yako sawa single mom
 
kwa ushauri wangu vunja huo uchumba hiyo ndoa haitadumu
 
Aihirisha kuolewa uendelee na biashara zako wakati huo tunaichakata mbususu mdogo mdogo
 
Ni pm nikueleze, mana mdogo wangu alipitia changamoto kama zako.
 
Bora mmegombana mapema kabla hamjafunga ndoa..

Kiufupi hapa hamna ndoa. Kila mmoja aendelee na mambo yake..
 
Matraaakoo yake!!
 
Sema vizuri. Madanga yako ya dar utamwachia nani?
 
Dah maisha ya kijijini magumu nimewai shi na mume singida vj huko alikopangiwa kazi haloooo bado kidogo nikimbie ndoa,ila alhamdullilah kwa sasa tupo mjini dar.ndugu yangu usiende kijijini sijakushaur ata kidogo

Labda anapiga miguu yote
 
Wewe kwa msimamo wako ndoa itakushinda, mwanaume akisimama sawasawa utaona anakutesa, matatizo yanaanzia kwa wazazi kwa kuwapa uhuru uliopitiliza, mwisho wa siku hata kuolewa mnaona ni jela. Kama baba angekunyoosha vizuri toka utotoni, shinyanga ungeenda na huyu mwanaume usingeona ni tatizo.
 
Yaani mwanaume ndio akufuate wewe
Akusikilize wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…