Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

Dah maisha ya kijijini magumu nimewai shi na mume singida vj huko alikopangiwa kazi haloooo bado kidogo nikimbie ndoa,ila alhamdullilah kwa sasa tupo mjini dar.ndugu yangu usiende kijijini sijakushaur ata kidogo
Wewe ulienda na hukukimbia , lkn wewe wamshauri asiende kijijini haya akili mkichwa chake.
 
Olewa na dildor( zile nanii za plastic) ndo utakua free ila ukiolewa uhuru wako haupo tena

Maisha ni haya haya why uteseke
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
1. Kumbe wewe mwanamke?
2. Huendi Kwa mmeo kisa marafiki...usipende subiria uzeeke tuanze kwenda Kwa mwamposa kuomba mume
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Hatari
 
Huyo dokta akikuoa atakuwa mjinga sana. Wewe achana na ndoa ubaki wanaume wa dar wakukanyage
 
Maono ya mwanaume ndio maono ya familia, mwanamke unatakiwa kuwa msaidizi katika kukamilisha hayo maono.

Marriage is conservative institute it can't survive if you want it to be a liberalism institute.

Uzuri ni kwamba ndoa sio lazima, so if you think your dream is too big to sacrifice it for a marriage then you can stay single forever.
 
Me nakushauri kwa upendo kabisa achana na huyo daktari haraka sana usije ukaishi kwenye ndoa ya mateso. Utampata wa kwako hapa dar ikiwezekana olewa na hao marafiki zako uwe huru.
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Subiri baada ya Ndoa Uombe Talaka.
 
Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?
Umri wenu?
Huyo mwenzio hajaona tu kuwa hapo hakuna kabisa wife material?!
Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Siyo kila mtu ni wa kuolewa bibie.
Haiwezekani uolewe halafu uwe huru kama kahaba. Hata mume akioa kuna uhuru anapoteza, kwa mfano, kama alikuwa anakesha club lazima aache.

Wewe subiri tu, mabaharia watapokezana na kukuchakaza sana hadi uwe singo maza wa watoto kadhaa, kila mmoja na baba yake tofauti, halafu muda huo utakuta huna rafiki hata mmoja mjini
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Bora umefunguka kabla ya ndoa! Sio wanawake wote wanaweza hii taasisi ya ndoa kama hakuna upendo na kummsi mwenzio! Kama kakulipia mahari rudisha mapema maana mnakoelekea mapanga ya kichwa yanawahusu nyie kwa nyie!
 
Sasa ngoja mmoja wa marafiki zako aende akaolewe na mganga mfawawidhi na ataenda Kuishi nae Shinyanga ndipo akili itakukaa sawa,pumbafuu kabisa😤

Na kwa kuwa unatanguliza uhuru binafsi kwanza wewe sio type ya kuolewa na yeyote maana una vijifanikio kidogo na ubinti unakusumbua pamoja na starehe za jiji la Dsm wee endelea kumegwa JF itasubiri muda wako wa kuwa tayari kuwa mke utarusha tangazo na sifa za mme umtakae na wewe kipindi hicho utakuwa tayari una mtoto Kwa baba ambaye nae mtashindwana utaweka sifa zako za kuwa single mother aliye serious akitaka ndoa hapo upon kwenye 37 yrs old tayari mbibi mvi zitakuwa tayari zishakutoka.
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Ukiwa tayari kuwa katika ndoa, lazima utakubaliana na "compromising".
 
Back
Top Bottom