Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hahaha bongo ukimfuata binti private...anajua una mtaka.Inabidi umpe injili dm kapenda mahubiri kwelikweli
Nafikiri wanaume hatuaminiki bongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha bongo ukimfuata binti private...anajua una mtaka.Inabidi umpe injili dm kapenda mahubiri kwelikweli
Mkuu huna mke mbaya...kuna kitu hakipo sawa kwakoEbwana baada ya kuuchoka ubachela nikaona nivute goma binafsi elimu yangu ni university dropout so sina professional but sijutii maana niliosoma nao wengi ganga njaa tu, so nilijikita kwenye kusafiri na biashara kibishi sana and it took so long kujitafuta so nilipo fika early 30's nilikuwa vizuri tu sema nilikuwa sitaki kuoa ili niufaidi ujana kutokana kwamba ujana wangu mwingi nilikuwwa mpambanaji so sikuzichakata vizuri but mwaka jana mwanzoni wazee wakaniweka mtu kati nioe.
Sikuwa na jinsi but mtihani ukaja nimuoe nani maana madem zangu wote kila nikiwapima naona sio wife material bas kuna dem mmoja I know her kwa mda mrefu kidogo kwao ni financially stable na pia ni msomi ndio alikuwa amemaliza masomo ya nje ya nchi mwanamke mzuri kwelikweli pia alikuwa mkubwa kiumri maana alikuwa abv27 so nikajaribu karata yangu bwana kama zali vile mtt akajaa kwenye 18 ukizingatia nilikuwa willing kuoa.
Sikulaza dam nikatoa mahali na kufunga harusi chapu by then dem ndio alikuwa intern.
Mambo yamebadilika sana baada ya kuoa binafsi nilipenda sana kuoa mwanamke msomi as mimi sio msomi ili iwe motivation kwa makid wangu lakini pia kwenye uchumba huyu manzi alinishawishi maana alikuwa anajituma hata kwenye kazi ndogondogo za hom lkn pia aliniweka kwenye mstari maana mimi ni bad spender mpaka home wakasema huyu ndio mwanamke sasa msomi kwelikweli na anajielewa (sitoongelea fani yake lkn ni very hotcake).
Baada ya kuoa sasa mambo nilio yakuta ni opposite aisee kwanza uvivu huu alionao sijawahi kuuona tangu nizaliwe we have a kid lkn huyu kid kawa wa beki tatu manzi anachat tu na tiktok asubuhi mpaka jioni, chaajabu sasa hataki kutafuta kazi kisingizio eti anawito wa biashara nikimuangalia kwa huu uvivu biashara hawezi lkn pia biashara sio kigezo cha kuto kufanya kazi na kwa fani yake kama atafanya kazi hawezi kulipwa chini ya m3 sasa simuelewi sijui karogwa huyu manzi?
Mimi ni mtu wa safari lkn anawivu sana anaona nikisafiri nitatamani madem wa nje aisee nashindwa kumuelewa. Yaan nimeoa msomi alafu kageuka kuwa mama wa nyumbani WTF🖕🏻
Wadau uwanja ni wenu nipige chini au nifanye nn kifungo kikubwa ni ndoa bwana tena ya kanisani.
Kosa kubwa ni uvivu sio?kwann unasema hivyo..as a man am trying to do my part yeye anafanya nn kama mwanamke?? Au na wewe ni muumini wa ule msemo kwamba mwanamke kazi yake ni kutoa papuchi tu??
tiktok tamu nyie
Kwa haraka haraka unaeza sema hii story ni kweli. Kumbe ni uongo mtupu.Ebwana baada ya kuuchoka ubachela nikaona nivute goma binafsi elimu yangu ni university dropout so sina professional but sijutii maana niliosoma nao wengi ganga njaa tu, so nilijikita kwenye kusafiri na biashara kibishi sana and it took so long kujitafuta so nilipo fika early 30's nilikuwa vizuri tu sema nilikuwa sitaki kuoa ili niufaidi ujana kutokana kwamba ujana wangu mwingi nilikuwwa mpambanaji so sikuzichakata vizuri but mwaka jana mwanzoni wazee wakaniweka mtu kati nioe.
Sikuwa na jinsi but mtihani ukaja nimuoe nani maana madem zangu wote kila nikiwapima naona sio wife material bas kuna dem mmoja I know her kwa mda mrefu kidogo kwao ni financially stable na pia ni msomi ndio alikuwa amemaliza masomo ya nje ya nchi mwanamke mzuri kwelikweli pia alikuwa mkubwa kiumri maana alikuwa abv27 so nikajaribu karata yangu bwana kama zali vile mtt akajaa kwenye 18 ukizingatia nilikuwa willing kuoa.
Sikulaza dam nikatoa mahali na kufunga harusi chapu by then dem ndio alikuwa intern.
Mambo yamebadilika sana baada ya kuoa binafsi nilipenda sana kuoa mwanamke msomi as mimi sio msomi ili iwe motivation kwa makid wangu lakini pia kwenye uchumba huyu manzi alinishawishi maana alikuwa anajituma hata kwenye kazi ndogondogo za hom lkn pia aliniweka kwenye mstari maana mimi ni bad spender mpaka home wakasema huyu ndio mwanamke sasa msomi kwelikweli na anajielewa (sitoongelea fani yake lkn ni very hotcake).
Baada ya kuoa sasa mambo nilio yakuta ni opposite aisee kwanza uvivu huu alionao sijawahi kuuona tangu nizaliwe we have a kid lkn huyu kid kawa wa beki tatu manzi anachat tu na tiktok asubuhi mpaka jioni, chaajabu sasa hataki kutafuta kazi kisingizio eti anawito wa biashara nikimuangalia kwa huu uvivu biashara hawezi lkn pia biashara sio kigezo cha kuto kufanya kazi na kwa fani yake kama atafanya kazi hawezi kulipwa chini ya m3 sasa simuelewi sijui karogwa huyu manzi?
Mimi ni mtu wa safari lkn anawivu sana anaona nikisafiri nitatamani madem wa nje aisee nashindwa kumuelewa. Yaan nimeoa msomi alafu kageuka kuwa mama wa nyumbani WTF🖕🏻
Wadau uwanja ni wenu nipige chini au nifanye nn kifungo kikubwa ni ndoa bwana tena ya kanisani.
😂😂😂😂😂😂 ikasaidia siku hizi unakula vizuriNyumbani imebidi niwafungie intenet unlimited.. maana hela za chakula zilikuwa zinanunuliwa mabando tu. Tunakula majani mengi kama mbuzi
Duh pole ila angalia anataka nini.Nilishafanya vikao vingi ndugu..alishakataa offer ya kazi baada tu ya internship..ajira kwake yeye sio shida kupata mzee wake alishampa kitengo akatosa mpaka nikaonekana mimi ndio ninamzuia kufanya kazi
KamwombeeSure ila sometimes naona kama kapigwa kipapai