Nataka kusafiri kutoka Mwanza kwenda Morogoro kwa pikipiki sanlg 125, naomba ushauri kitaalam

Sasa huo mwamvuli atajifunikaje
 
Nyie wanawake hamuwezi kuendesha pikipiki
 
Tembea kaka hiyo mbona haina taabu. Si sanlg tena ikiwa nyekundu ndio mwake
 
Reactions: y-n
Write your reply...Hivi vitu vinahitaji uzoefu wa kuendesha safari ndefu mimi nilijaribu kutoka na BAJA Dar~Tbr njiani ni very risk nashukuru mungu nilifika salama na nilirudi salama hiyo ilikuwa 2004 na sitaki tena kuendesha pkpk kindezi ndezi kama hivyo
 
Kusafiri na pikipiki ni jambo la kawaida sana na watu wanasafiri nazo kila siku bila shida yoyote, ila watu wasio na experience wanakatisha wenzao tamaa tu.
 
Ushauri wangu wakati unaanza safari waambie kule unakoenda waanze kuchonga jeneza

Halafu hao wachonga jeneza, inabidi nao waanze safari ya kulisafirisha kuelekea kule anakotokea marehemu mtarajiwa, kwa sababu wasipofanya hivyo, jeneza hilo itabidi walihifadhi kwa ajili ya mtu mwingine, mhusika hataweza tena kulitumia. Kumsubiri haiwezekani kwa sababu tayari inajulikana wazi kuwa hataweza kufika huko waliko wenye jeneza
 
ushauri mzuri sana wa kitaakam japo hapo mwisho umenivunja mbavu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu washamba utawajua.yeye anaulizia habari za pikipiki mwingine utakuta anakuja kuleta mifano ya gari. Jamiiforums ina watu wa ajabu ajabu siku hizi. We mdada umeshindwa kumwelewa mleta hoja kabisa.

 
Kwani jamaa humu JF huwa anaanzisha nyuzi kali kali?

 
Mwanza-Moro siku 4!
 
niliwahi toka na TVs ngara mwanza 2012 km kama 490 nilifika siku hiyo hiyo lkn sitarudia tena akyanani maana ilifika sehemu nikatamani maroli yanipe tafu mabega na mgongo na kiuno viliuma siku tatu
 
Kwani ukipakia kwenye semi kuna tatizo gani?au kuna kitu unataka kugundua bro?
 
Mnapoandika ushuhuda wenu,punguzeni chumvi.
(Kauli taarifa)
 
Mnapoandika ushuhuda wenu,punguzeni chumvi.
(Kauli taarifa)
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji848][emoji848][emoji848]kweli mzee haumini nini hapo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…