- Thread starter
- #21
Mpaka watajuta kunifahamuSafi sana mkuu endelea kuwatotolesha tu ndoa wakazitafute kwa wanaume wanaohusudu ndoa
KATAA NDOA NI UTAPELI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka watajuta kunifahamuSafi sana mkuu endelea kuwatotolesha tu ndoa wakazitafute kwa wanaume wanaohusudu ndoa
KATAA NDOA NI UTAPELI
Siyo kweli. Tusikaririshwe.Watoto wanahitaji maelezi ya baba na mama
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.
Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.
Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.
Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.
Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.
N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
Ukimwi upo na unaua,maana kama ni watoto kwa hiyo condom hazitumikiMimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.
Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.
Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.
Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.
Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.
N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
Nyie ndio mnaofanya single mothers kuwa wengi halafu baadae mnarudi humu kuwasemea hovyo.
Kula maisha wewe, maisha ni.mafupi sana. Yaani badala ya kuishi aunaanza kuhangaika kubuni vitu? Kwani umeambiwa utaishi milele hapa duniani?Kazi kweli kweli, wezetu huko duniani wanabuni vi2 vya msingi, Sisi huku muda wote tunawaza mapenzi
Washenga tupo hapa.Hutaki kuwa mume utaolewa ww nakwambia,dunia hii haitaki mchezo kabisa ni pande mbili tu uchague moja kula au kuliwa.
We si kataa ndoa? Au 2025 imekaribia umesaliti chamaDah hivi mkuu una ona furaha gani, kuzalisha mitoto isiyo na baba??.
Usha wahi kupita mtaani na kuona watoto wanavyo hangaika mtaani??.
Una feel proud kuzalisha, nahisi hata wewe mwenyewe huwezi jilisha.
Jasusi haachi asili 🤣😂We si kataa ndoa? Au 2025 imekaribia umesaliti chama
Upinde unakumendea kijanaMimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.
Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.
Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.
Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.
Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.
N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
😂Jasusi haachi asili 🤣😂
Nusu albinoo tulia 😂 😂
Aisee kazi ipoMimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.
Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.
Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.
Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.
Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.
N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.