Nataka kuwa baba watoto Lakini siyo mume

Nataka kuwa baba watoto Lakini siyo mume

Kama unataka uwe baba watoto ila hutaki mke Hapo inabidi ubebeshwe mimba wewe
 
Watoto wanahitaji maelezi ya baba na mama
Siyo kweli. Tusikaririshwe.
1. Hitler alilelewa na mamake tu.
2. Magufuli alilielewa na mamake tu. Maana mhutu aliyempa mimba mamake hakuwahi kuishi naye.
3. Mandela umeisoma historia yake. Kama bado ingia Google.
4. Diamond kalelewa na mamake tu.
5.n.k

Mkuu orodha ni ndefu sana usinichoshe
 
Kaka unaakili sanaaaaa. Nashauri serikali ukuchukue ikufanyie operation walau watoe kidogo wagawie wale wazee wa ma V8.
 
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.

Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.

Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.

Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.

Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.

N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
 
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.

Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.

Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.

Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.

Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.

N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
Ukimwi upo na unaua,maana kama ni watoto kwa hiyo condom hazitumiki
 
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.

Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.

Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.

Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.

Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.

N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
Upinde unakumendea kijana
 
Mimi ni mwanachama mtiifu wa timu KATAA NDOA, lakini nataka niwe baba watoto.

Kampeni nishaianza tayari. Juzi kuna mdada kajifungua mtoto wa kiume.

Muda huu nimetuma nauli kwa mdada mwingine ambaye ana hamu ya kuwa na mtoto. Hivyo anakuja kukaa siku 3 kwenye geto langu kwa lengo moja tu......kubebeshwa mimba.

Nikimalizana na huyu wiki hii, wiki ijayo kuna mdada ana mtoto mmoja lkn kazinguana na baba mtoto wake. Naye tumeingia makubaliano azae mtoto mmoja.

Na kama kuna mdada mwingine humu JF ambaye angependa kupata huduma ya kubebeshwa mimba basi anicheki inbox. Siku 3 zinatosha kwa mwanadada kupokea mtoto.

N.B: Kumbuka nitasaidia ktk malezi ya mtoto mpk atakapofikisha miaka 3, baada ya hapo namchukua na atalelewa na mimi. Kama hutaki kafie mbele huko.
Aisee kazi ipo
 
Back
Top Bottom