Nataka kuwa tajiri mkubwa sana, nauchukia umaskini

Sawa mkubwa umeeleweka.
 
Moderators hili jibu lilipaswa liwe hoja ya kwanza kabisa, fanyieni kazi hii changamoto ili mambo yasiwe mengi.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
nakoshwa sana na mtu kama rostamu azizi
nguvu kidogo, akili na mikakati ya siri mingi
maisha sio kutumia manguvu ,eti unaaambiwa pambana, unapambana umekua bondia..
 
Hapana. Nataka nimuunganishe kule walipokukula jicho
Poleni maskini wenzangu naona mna gazabu kwelikweli. Tutafute pesa tu , pesa ndio inaondoa hata hizi gazabu za kutukanana matusi na mengineyo ya karaha
 
Unaweza kutajirika kwa kutumia nyongo ya jongoo, ni rahisi sana na wengi wamefanikiwa.
 
Uchawi mzuri ni wa kufanya utajirike tofaut na hapo ni umasikini , uchawi wa kumuchawia mtu asifanikiwe au kua na roho mbaya basi jua ni uchawi wa kimasikini..
 
Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Nilipenyezewa code 1 makini sana ngoja nikiifanyia kazi nikiona inaleta majibu chanya nitakutafuta Ila uwe na kifua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…