Nataka kuwa tajiri mkubwa sana, nauchukia umaskini

Nataka kuwa tajiri mkubwa sana, nauchukia umaskini

Mtafute facebook kijana mmoja yupo mwanza anajiita Don shafii kama sijakosea huyo hela anajaza kwenye madiaba..pia mcheki chief godlove kwa ajili ya jicho la tatu lenye kufungua pesa🤣
 
Iyo ishu ipo kweli mali za majini lakin kwa ss shart kubwa mpk wakufire ka uko tyr nikupeleke kwa hao waganga yaan kila utakapopigwa pipe utajiri unazid kuongezeka wako sehem inaitwa ngende huko kusini
 
Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.

Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Inawezekana Mkuu, anza kwa kunywa mkojo wako wa kwanza Kila siku asubuhi Kwa siku 30 huku ukinuia maneno ya kimwita Shetani maishani mwako. Baada ya hapo utajiliwa na Shetani kwa hatua zaidi.
 
Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.

Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Unaongea kweli toka moyoni
 
Inawezekana Mkuu, anza kwa kunywa mkojo wako wa kwanza Kila siku asubuhi Kwa siku 30 huku ukinuia maneno ya kimwita Shetani maishani mwako. Baada ya hapo utajiliwa na Shetani kwa hatua zaidi.
Sawa mwamba ngoja nichek hio njia tuone mim sina tatizo hata akitokea hapa nilipo
 
Iyo ishu ipo kweli mali za majini lakin kwa ss shart kubwa mpk wakufire ka uko tyr nikupeleke kwa hao waganga yaan kila utakapopigwa pipe utajiri unazid kuongezeka wako sehem inaitwa ngende huko kusini
Hiri swara la kuvuriwa ubingwa siriamini kabisa ni kauri tu za kejeri zinazotoka kwa maskin wenzangu wario na hasira za kimaisha
 
Mtafute facebook kijana mmoja yupo mwanza anajiita Don shafii kama sijakosea huyo hela anajaza kwenye madiaba..pia mcheki chief godlove kwa ajili ya jicho la tatu lenye kufungua pesa[emoji1787]
Napia mwamba pamoja na yote ninachomupendea huyo godlove ni kwamba anauchukia umasikini sana yan kifup ameulaani na ndivyo inavyotakiwa haupend na ndio mana wakat mwingine anatutukana na kutukejel sisi masikini iri tupate hasira ya kutafuta pesa ,
 
Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.

Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Fanya kazi, wacha ndoto za kijinga, hata jinni anaweka mtaji wa pesa zake kwa mtu anayezifanyia kazi, hampi mtu asiyezifanyia kazi.
 
Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.

Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Utajiri ni issue sensitive sana kama huamini fuatilia vitabu vya habibu hapa JF.
 
Utajiri ni issue sensitive sana kama huamini fuatilia vitabu vya habibu hapa JF.
Mwamba mimi nimeshajitoa mwamba..kuna nyimbo fulan ya kijana huyu anapendwa sana diamond, ikipigwa, waifu hua anakimbilia chumban kulia..kwanza apa enyewe nina baraka zote za waifu ..
 
Back
Top Bottom