Nataka kuwa tajiri mkubwa sana, nauchukia umaskini

Nataka kuwa tajiri mkubwa sana, nauchukia umaskini

Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.

Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Kuna kipindi nilikuwa na hali kama ya kwako lkn baada ya kugundua kuwa Mungu kama hajapanga utoboe hata ukienda kwa waganga huwez toboa mzee chakufanya muombe Mungu akuoneshe njia ya mafanikio kisha piga kazi amin kuna siku utatoboa .
 
Ww Wala una maishà magumu SEMA ndio yule kijana wa hovyo wakusema mm siwezi kwenda kufagia Barabara maana watu watakuonaje ingali ukifagia Barabara unalipwa helaa.unachagua kazi kisa una ka degree Kako au huna ila ushajiwekea mipaka ya kazi Fulani nafanya ,kazi fualn huwezi kufanya hvyo lzm maishà yakuchape maana zile kazi ambazo utaki kuzifanya Kila cku ndio zipo na Zina Hela tu sema kwakuwa ndio hvyo utaki kz ,,mwishowe ndio hyo kuwaza ujinga wa kwenda Kwa waganga

Shenziii kbs
Kazi za kufagia barabara zina hela???? Au nnaowaonaga wale wanaigiza
 
Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.

Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Mkuu sasa unatwambia sisi ili iweje.we kua tu. Ata ukitaka kuwa tajiri namba moja duniani we kua tu .kuna mtu kakuzuia?. Ata kesho amka ukiwa tajiri wa kwanza tanzania. Hamna anayekuzuia. Ni kua tu.
 
Mkuu sasa unatwambia sisi ili iweje.we kua tu. Ata ukitaka kuwa tajiri namba moja duniani we kua tu .kuna mtu kakuzuia?. Ata kesho amka ukiwa tajiri wa kwanza tanzania. Hamna anayekuzuia. Ni kua tu.
Shida maskin mwenzang usiwe na hasira tutafute hera
 
Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.

Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.

Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Nataka kuwa mwalimu mkuu, lakini nachukia kufundisha
 
Achana na mambo ya majini na illegal issues.
Hata kama huna hata Mia mbovu unayo nafasi kubwa Tu ya kuwa millionaire mkuu .
Kuna fursa jitahidi Uje ofisini KIJITONYAMA MWANGA tower GHOROFA YA TATU, Ofisi inaitwa IREV. Husikilize Kwa makini then uone Kwa namna gani unaweza ukaijenga Njia yako. Au nitafute whatsup nikupe link YouTube uangalie Huo mchongo atleast utapata kuielewa. Mungu Ni mwema.
 
Nimegundua tatizo lako sio pesa bali wewe unachotaka ni kuheshimiwa, kutukuzwa hata kama hauna shilingi mfukoni.
 
Back
Top Bottom