stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Za yule Binti wa Yombo au?Kwahio hamuna konekshen humu ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za yule Binti wa Yombo au?Kwahio hamuna konekshen humu ndani
Kwahio hamuna konekshen ya kupata utajiri wa GIZAA humu ndani?
Huo ujinga sifanyi ..ni kupoteza muda jombaa wasomi wangap wako mtaani wengine ni wanawafanyia masaji wadada huko kwenye masaluniConnection nenda shule usome ukimaliza tafuta Kazi
Kuna kipindi nilikuwa na hali kama ya kwako lkn baada ya kugundua kuwa Mungu kama hajapanga utoboe hata ukienda kwa waganga huwez toboa mzee chakufanya muombe Mungu akuoneshe njia ya mafanikio kisha piga kazi amin kuna siku utatoboa .Asalaam alaykum.
Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.
Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.
Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Matajiri wote wamesomaHuo ujinga sifanyi ..ni kupoteza muda jombaa wasomi wangap wako mtaani wengine ni wanawafanyia masaji wadada huko kwenye masaluni
Kazi za kufagia barabara zina hela???? Au nnaowaonaga wale wanaigizaWw Wala una maishà magumu SEMA ndio yule kijana wa hovyo wakusema mm siwezi kwenda kufagia Barabara maana watu watakuonaje ingali ukifagia Barabara unalipwa helaa.unachagua kazi kisa una ka degree Kako au huna ila ushajiwekea mipaka ya kazi Fulani nafanya ,kazi fualn huwezi kufanya hvyo lzm maishà yakuchape maana zile kazi ambazo utaki kuzifanya Kila cku ndio zipo na Zina Hela tu sema kwakuwa ndio hvyo utaki kz ,,mwishowe ndio hyo kuwaza ujinga wa kwenda Kwa waganga
Shenziii kbs
Mkuu sasa unatwambia sisi ili iweje.we kua tu. Ata ukitaka kuwa tajiri namba moja duniani we kua tu .kuna mtu kakuzuia?. Ata kesho amka ukiwa tajiri wa kwanza tanzania. Hamna anayekuzuia. Ni kua tu.Asalaam alaykum.
Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.
Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.
Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
Ndio kusoma na kuandika. Hio haina shida. Hizo digirii ni ujinga na kupoteza muda.Matajiri wote wamesoma
Shida maskin mwenzang usiwe na hasira tutafute heraMkuu sasa unatwambia sisi ili iweje.we kua tu. Ata ukitaka kuwa tajiri namba moja duniani we kua tu .kuna mtu kakuzuia?. Ata kesho amka ukiwa tajiri wa kwanza tanzania. Hamna anayekuzuia. Ni kua tu.
Hahhah aiseeKazi za kufagia barabara zina hela???? Au nnaowaonaga wale wanaigiza
Mwamba unamanisha nini mwamba, lazima kuuchukia mana hauna faida umaskiniTatizo linaanzia hapo unapouchukia
Nataka kuwa mwalimu mkuu, lakini nachukia kufundishaAsalaam alaykum.
Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri mkubwa sana, wa pesa za masharti ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nadharauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa hata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye moyo wakusaidia watu kama mimi anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha Asalaam alaykum.
Jaman mim nahitaji siku moja niwe tajiri wa pesa za majini ili namimi jamii yangu iniheshimu inafika wakati nazarauliwa hata ndugu zangu wananicheka kwa kusema sina pesa ata senti hamsini aisee nimechoka kuchekwa jamani mwenye koneksheni za wataalam wa utajiri wa masharti, majini, mizimu, anisaidie jamani haya ni mateso katika maisha yangu.
Sitaki kuwa maskini. Sijui kipi sijafanya ila sifanikiwi naona sasa nimsogelee shetani.
habar ndio hioNataka kuwa mwalimu mkuu, lakini nachukia kufundisha
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.Sio akuoe Wewe atajirike
Tayari ushaliwa?Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.