Nataka kuweka stop order kwa benki inayotaka kuuza nyumba yangu Mbeya Mjini

Nataka kuweka stop order kwa benki inayotaka kuuza nyumba yangu Mbeya Mjini

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Habari wana jf, asalaam aleykum Muslimina.

Nianze moja kwa moja suala langu, nimekuwa na utaratibu wa kuomba overdraft miaka 4 iliyopita kiasi cha shilingi million 15.

Nimekuwa nikichukuwa kutumia fedha hizo kwa shughuli zangu za biashara ya mpunga na mahindi pamoja na korosho, kama kawaida, lakini kwa bahati mbaya kutokana na hali mbaya ya kiuchumi kama sote tunavyofahamu awamu ya tano haikuwa rafiki kibiashara kwa wafanyabiashara, hivyo deni lilia cumulate mpaka kufikia million 40, kutoka 15 million, hivyo nilijipigapiga katika KUEPUSHA shari nikalipa 21 million, hivyo deni kubaki nusu, lakini rekodi yangu ni nzuri katika banks hiyo na Nina imani ndani ya muda mfupi nitalimaliza deni hili, hawa jamaa hawataki kuelewa na wamenipa siku saba tu.

What should I do to stop that shits.
 
Habari wana jf, asalaam aleykum Muslimina.
Nianze moja kwa moja suala langu, nimekuwa na utaratibu wa kuomba overdraft miaka 4 iliyopita kiasi cha shilingi million 15. Nimekuwa nikichukuwa kutumia fedha hizo kwa shughuli zangu za biashara ya mpunga na mahindi pamoja na korosho, kama kawaida, lakini kwa bahati mbaya kutokana na hali mbaya ya kiuchumi kama sote tunavyofahamu awamu ya tano haikuwa rafiki kibiashara kwa wafanyabiashara, hivyo deni lilia cumulate mpaka kufikia million 40,kutoka 15 million, hivyo nilijipigapiga katika KUEPUSHA shari nikalipa 21 million, hivyo deni kubaki nusu, lakini rekodi yangu ni nzuri katika banks hiyo na Nina imani ndani ya muda mfupi nitalimaliza deni hili, hawa jamaa hawataki kuelewa na wamenipa siku saba tu,,
What should I do to stop that shits.
Solution mojawapo ikiwa hamjaelewana ni kutafuta mwanasheria akushauri vyema.
 
Habari wana jf, asalaam aleykum Muslimina.
Nianze moja kwa moja suala langu, nimekuwa na utaratibu wa kuomba overdraft miaka 4 iliyopita kiasi cha shilingi million 15. Nimekuwa nikichukuwa kutumia fedha hizo kwa shughuli zangu za biashara ya mpunga na mahindi pamoja na korosho, kama kawaida, lakini kwa bahati mbaya kutokana na hali mbaya ya kiuchumi kama sote tunavyofahamu awamu ya tano haikuwa rafiki kibiashara kwa wafanyabiashara, hivyo deni lilia cumulate mpaka kufikia million 40,kutoka 15 million, hivyo nilijipigapiga katika KUEPUSHA shari nikalipa 21 million, hivyo deni kubaki nusu, lakini rekodi yangu ni nzuri katika banks hiyo na Nina imani ndani ya muda mfupi nitalimaliza deni hili, hawa jamaa hawataki kuelewa na wamenipa siku saba tu,,
What should I do to stop that shits.
Kwa uelewa wangu stop order inatolewa na mahakama, na kwendana na hicho kiwango kesi huwa inafunguliwa high court, na ili uweze kufungua kesi, moja ya viambatanisho ni nakala ya Tangazo la uuzaji wa nyumba kutoka kwa dalai wa mahakama aliyetumiwa na benki husika.
 
Habari wana jf, asalaam aleykum Muslimina.

Nianze moja kwa moja suala langu, nimekuwa na utaratibu wa kuomba overdraft miaka 4 iliyopita kiasi cha shilingi million 15.

Nimekuwa nikichukuwa kutumia fedha hizo kwa shughuli zangu za biashara ya mpunga na mahindi pamoja na korosho, kama kawaida, lakini kwa bahati mbaya kutokana na hali mbaya ya kiuchumi kama sote tunavyofahamu awamu ya tano haikuwa rafiki kibiashara kwa wafanyabiashara, hivyo deni lilia cumulate mpaka kufikia million 40, kutoka 15 million, hivyo nilijipigapiga katika KUEPUSHA shari nikalipa 21 million, hivyo deni kubaki nusu, lakini rekodi yangu ni nzuri katika banks hiyo na Nina imani ndani ya muda mfupi nitalimaliza deni hili, hawa jamaa hawataki kuelewa na wamenipa siku saba tu.

What should I do to stop that shits.
Fanya hivi nenda kafungue kesi application baraza la ardhi na omba maombi ya status quo chini ya kiapo cha dharula huku ukipeleka mgogoro wako kwenye baraza la kata la ardhi kwa usurihishi itakusaidia
 
Fanya hivi nenda kafungue kesi application baraza la ardhi na omba maombi ya status quo chini ya kiapo cha dharula huku ukipeleka mgogoro wako kwenye baraza la kata la ardhi kwa usurihishi itakusaidia
Kwa kuwa siku hizi migogoro yte lazima ianzie baraza la ardhi la kata lkn fanya hivyo utanishukuru
 
Kwa kuwa siku hizi migogoro yte lazima ianzie baraza la ardhi la kata lkn fanya hivyo utanishukuru
Hata kabla sheria ya mabaraza ya kata haijabadirishwa kwa kiwango hicho asingeweza kuanzia huko, bali ni baraza la ardhi na nyumba la wilaya.
Ila kwa sheria mpya ya sasa hayo mabaraza ya kata hayafanyi tena kazi za ki mahakama, bali ni usuruhishi tu.Shauri likienda pale la mgogoro wa ardhi wao ni kuusikiliza na ka kuwapatanisha tu, kama hakuna muafaka ndani ya mwezi mmoja waumalize kwa kuwapa barua a kwenda baraza la wilaya ndiko wakanze kesi.
 
Habari wana jf, asalaam aleykum Muslimina.

Nianze moja kwa moja suala langu, nimekuwa na utaratibu wa kuomba overdraft miaka 4 iliyopita kiasi cha shilingi million 15.

Nimekuwa nikichukuwa kutumia fedha hizo kwa shughuli zangu za biashara ya mpunga na mahindi pamoja na korosho, kama kawaida, lakini kwa bahati mbaya kutokana na hali mbaya ya kiuchumi kama sote tunavyofahamu awamu ya tano haikuwa rafiki kibiashara kwa wafanyabiashara, hivyo deni lilia cumulate mpaka kufikia million 40, kutoka 15 million, hivyo nilijipigapiga katika KUEPUSHA shari nikalipa 21 million, hivyo deni kubaki nusu, lakini rekodi yangu ni nzuri katika banks hiyo na Nina imani ndani ya muda mfupi nitalimaliza deni hili, hawa jamaa hawataki kuelewa na wamenipa siku saba tu.

What should I do to stop that shits.
Lazima wakupe muda,kama hawajakupa muda hawawezi kuuza nyumba.Itabidi kwanza wawe na kibali cha mahakama.Hii inachukua muda .Waambie wakupe muda.Ukiona wanakomaa tulia hawawezi kuuza chochote.
 
Hiyo hali yako nimekutana nayo sema upande wangu ni tofauti kidogo tu. Nilichofanya nilienda Baraza la Ardhi 2019 nikafungua shauri huko hadi leo kesi ipo tu na nyumba hawajauza miaka 3, wa 4 ndyo unaenda panapo uzima!
Uzuri wa Baraza la Aridhi pesa yako tu na watafanya chochote kile unavyotaka wwe!!
 
Habari wana jf, asalaam aleykum Muslimina.

Nianze moja kwa moja suala langu, nimekuwa na utaratibu wa kuomba overdraft miaka 4 iliyopita kiasi cha shilingi million 15.

Nimekuwa nikichukuwa kutumia fedha hizo kwa shughuli zangu za biashara ya mpunga na mahindi pamoja na korosho, kama kawaida, lakini kwa bahati mbaya kutokana na hali mbaya ya kiuchumi kama sote tunavyofahamu awamu ya tano haikuwa rafiki kibiashara kwa wafanyabiashara, hivyo deni lilia cumulate mpaka kufikia million 40, kutoka 15 million, hivyo nilijipigapiga katika KUEPUSHA shari nikalipa 21 million, hivyo deni kubaki nusu, lakini rekodi yangu ni nzuri katika banks hiyo na Nina imani ndani ya muda mfupi nitalimaliza deni hili, hawa jamaa hawataki kuelewa na wamenipa siku saba tu.

What should I do to stop that shits.
Wahi mahakamani umeshaonesha nia ya kulipa na umeshapunguza deni hawana mamlaka kisheria kuuza dhamana
 
Benki gani hio mtu analipa na bado wanataka kuuza nyumba? Kuna kitu hujatueleza hapa.
 
Lazima wakupe muda,kama hawajakupa muda hawawezi kuuza nyumba.Itabidi kwanza wawe na kibali cha mahakama.Hii inachukua muda .Waambie wakupe muda.Ukiona wanakomaa tulia hawawezi kuuza chochote.
Hapana mkuu kwangu walichora hivyo hivyo kwa kupuuza wakanipa siku kumi na nne za kukamilisha baada ya hapo mnada utaanza nilipambana nikalipa kutoka M50 mpaka M2 wakaongeza siku sitini za know malizia. Cha kufanya aende bank aongee na manager
 
Back
Top Bottom