Nataka kuweka stop order kwa benki inayotaka kuuza nyumba yangu Mbeya Mjini

Kuna kitu hujaeleza. Ila unapaswa ukaonane na manager, umueleze hal yako kibiashara, kiwango unachomudu kwa sasa kulipa ili waweze kukurekebishia mkopo wako uendane na hali halisi.
NB. Kama bank inafata taratibu zote za kukupa mrejesho wa mdololo wa marejesho yako, hata mahakaman watashinda na nyumba itauzwa.
 
Kama mteja wao mzuri kuna room ya kujadili
 
Hao wapeleke Baraza la ardhi la wilaya huko utapewa zuio na hati utaipata huko utampatia mtendaji wa kata au mtaa au Mg au dalali wa mahakama ampatie wito branch manager akisaini tu mikwala yote inaishia hapo then rudi kwa karani wa mahakama yeye ndo mpanga tarehe cheza na pesa tu huko maboss huitwa wenyekiti wa Baraza watakuwa wanasogeza siku mbele huku unakaa sawa na milango itafunguka ulipe deni then nyumba haitaguswa na mtaani hawatajuaa maana madalali wakianza kuchora nyumba na kupiga PA mtaani heshima inashuka kwa Sasa nenda mahakama ya ardhi upate zuio Ila pesa kule muhimu uitoe ukizubaa zuio hupati mjengo unatembea huyo manager achana naye
Naongea kwa uzoefu hiyo hali nilipitia naijua vema sisi wapambanaji no check number mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…