Nataka kwenda Dubai au China kununua simu nipeni maelekezo mliowahi kwenda

Sasa akienda k/koo kwa wauza ana 15m na anapata faida kwa nini asiende Duabi aate faida zaidi....Ushauru wako unakinzana wenyewe kwa wenyewe
 
Its best aende mwenyewe huko apate exposure
 
Una maanisha unaweza kwenda na kurudi china na mzigo kwa 5,000,000 [emoji853][emoji853][emoji853][emoji853]
Hapo tra inaweza kuwa hadi 8000000 huyo wa 20m aende tuuu
 
Yani kuna watu mnazingua mno kama hamna majibu tulieni wenye exposure na hiyo kitu watoe ufafanuzi kwani lazima ku"comment"

N:B imenipasa nitoe comment yangu hapa kusisitiza tuu maana majibu nimeona watu wa wawili tuu ndo wamejaribu kujibu kama mtoa mada alivyotaka.
 
Wanatakiwa watu kama wewe kuinuana na kutiana moyo
 
Nimeamini JF watu hawapendi mafanikio ya wengine, in short ni upuuzi umejaa tu, mleta uzi alikuwa anahitaji mambo yafuatayo kwa uchache,
1. Nauli TZ China Tz
2. Hotel, usafiri, chakula akiwa China per day
3. Wastani wa bei za simu janja kwa kilo na gharama za wapagazi
4. Gharama ya kusafirisha mzigo China Tz
5. TRA haki bin haki hali ikoje, wacha short cut
6. Wastani wa mauzo, bei elekezi hapa Bongo
7. Ushuru na kodi yeyote wakati wa mauzo, na Neosho,
8. Mkokotoo wa mtaji wake wa 20m

Sasa majitu humu hamnazo kazi ubishi tu na comment za kipuuzipuuzi tu kukatishana tamaa mara njoo pm nyambaf

Pangu Pakavu
 
Mkuu kwani akienda kulala hotelini itamgharimu dola ngapi kulala usiku mmoja?
 
Kuna uzi huku umeelezea kila kitu kuhusu kwenda China,mtaji,faida na changamoto zake,vitu gani vya kununua na wakati gani vinakua rahisi huku China kuleta Tanzania. tuombe mods wauunganishe huku
Embu copy link yake iweke hapa tuuzamie huo uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…