Nataka kwenda kuoa Zanzibar

Zenji unaongea na wazee na wakubwa wa binti fasta mambo yanakuwa tayari.
 
Ingia kwenye Uislam. Jifunze nanuwe unasali sala 5 kwa siku kwa kuanzia. Nenda Zanzibar, India msikiti wowote ulio karibu na wewe, ongea na Imam.

It's as simple as that.

Ma shaa Allah, mama Samia ana mvuto.
Asante sana
 
Kwanza wale wanajua kupika vi -bites tu kama vile vibibi, sambusa, kachori, tambi, chapati na vyakufanana na hivyo.

Lakini Eti vyakula kama vya bara hivi rasmi kama vile ugali nyama, wali maharagwe n.k hawajuagi nikwambie [emoji108][emoji108]

Yaani uwe umezoea na kukulia kula vya kule vinginevyo utachokaje?!
 
Umejielezea sana Mkuu ili kuhalalisha mawazo/matamanio yako. Itakuwa ndani kabisa ya nafsi yako unajiona namna unazingua sasa unatafuta nafuu ya waungwana.

Ila Mkuu umemrithi babu kabisa 😂😂
😁😁😁😁
 
Usicheze
Kama ilivyo kigezo cha kuajiriwa SMZ ni lazma uwe ni mzanzibar bc na kwa wazaz ni hivyo hivo ili uwo bint yao lazma uwe mzanzibar inagawa sio wote ile weng mno wako na mtazamo uwo ata uwe tajir kias gani hawakupiiii mtoto wao abadan.
na hela mkuu.

Nothing can take the place of money in the area where money works better
 
Bosi wangu naona unazunguka saana lakini nikupe hints tu kuhusu wazanzibari, Mimi mwenyewe ni mzanzibari na naishi huku, naeafahamu wazanzibari in and out, kuhusu kuoa mwanamke wa kizanzibari muislamu wakati wewe sio muislamu hiyo ni ngumu Sana, ninachokushsuri kwanza kabla hujaja huku badili hiyo dini yako kwanza uwe muislamu, halafu uusome uislamu uujue, baada ya hapo Anza kutafuta mke umpendae taratibu, kwa sababu kama vigezo vyako vitakuwa vikubwa kumpata umtakae basi ujue kwenda kuposa mtoto wa kizanzibari utafuatiliwa sana life yako na historia yako na ukoo wako, kiufupi ujipange usiourupuke, na ukifanya hivyo utapata mke ambae hutojutia na utafurahia ndoa yako.
 
Huu ndo ukwel wenyew yaani
Sio kivile usiwachukulie poa, huku watoto wa kike hawana papara la kuolewa kwa sababu wanaume wengi wao huoa mke zaidi yammoja, so ukitafuta mke wazazi huchunguza Sana hasa ukitoka nje ya Zanzibar
Wanachukulia poa san hao ila ukwel ndo huo hupewi mtt wa watu kama hujachunguzwa vya kutosha na ukionekana una makando kando yaliyokua hayaeleweki tu hupewi ata uwe na hela kias gan ila ukiwaambia wanabisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…