Nataka kwenda kuoa Zanzibar

Nataka kwenda kuoa Zanzibar

Ameshasema kwao ni waislamu isipokuwa babu yake alibadili ili amuoe bibi yake mi nadhani kuhusu yeye kubadilisha dini kwake haiwezi kuwa tatizo
Kwani kwao kuwa waislamu ndo nini? Unabadili dini kwa sababu kwenu walikuwa waislamu na kuna waislamu au unabadili dini kwa sababu umeielewa haki iko wapi?
 
Mkuu umewahi kuwa na mtoto wa kike? Sidhani kwa sababu kama ungekuwa na mtoto wa kike Usinge toa hoja ya kitoto kama hiyo
Ila tunatofautiana sana kimaisha mpaka akili.......mtoto wa kike ninaye..........ila namuomba mwenyezi mungu maana miaka 16 anakuwa form 2 sasa wewe unamuozesha au wewe ukusoma ..........? Ulivyo maliza madrasa yako basi maisha yaendelee si ndio? Ndio kuraan aitambui mwanamke kabisa ndio maana mnaona wanawake kama takataka...........yaani wewe ni mkubavu kabisa kama utambui haki ya mtoto wakike ........mwache asome aje kuwa wife material .....asije kulika ki masikhara na wahuni mkubavu tenaa wewe
 
Habari zenu wana jamvi.

Nisiwachose sana.

Ni hivi, sauti yangu ya ndani inanishuhudia nioe mwanamke wa kizanzibari..

Kuhusu dini Mimi ni Mkristo mwenye vinasaba vya uislamu. Nipo tayari kusilimu wakati wowote ule. Kwanza I am not even a church going person.

Ukristo wangu ni ukristo wenye matege.

How? Sisi ukoo wetu wote ni waislamu. Babu yangu kizaa baba alibadili dini na kuwa mkristo wakati ana muoa bibi kizaa baba. Bibi kizaa baba kwao walikuwa wakristu. Babu yangu alikutana nae alipoenda kutafuta maisha kwenye mkoa ambao una wakristu wengi (nyumbani kwao bibi)

Hata hivyo babu yangu alikuwaga ni wale wakristu wenye kuvaa kanzu na kibaragashia. Still bado alikuwa n.a. " aura" (haiba) ya kiislamu.

Vivyo hivyo kwa Marehemu baba yangu mzazi.

Ndugu zetu karibu wote ni waislamu. Hata kwenye tumbo letu baadhi ya ndugu zangu walipewa majina ya ki islamu walipo zaliwa (sababu?) Baba alikuwa anawapa majina ya babu zake na baba zake wakubwa. Mfano kaka yangu ninae mfuata anaitwa Mohamed ingawa mkatoliki..mtaani kwetu anaitwaga Mohamed Mkristo or simply Mudi Mkristo.

Pamoja na yote Mimi mwenyewe binafsi nimekuwa exposed n.a. uislamu tangu nikiwa mdogo. Mifano nilikuwa naenda madarasa nikiwa mtoto kwa ajili ya kampani ya ndugu zangu upande wa baba (watoto wa baba wakubwa wadogo na mashangazi)

Kwetu sisi si waenda kanisani kihivyo (church goers)

Miaka ya 2000 mwanzoni tulipangishaga mashahidi wa yehova. Kuna siku walikuja na wazungu kumuhubiri baba..alicho waambia ni " nyinyi jeshi la Yehova (aliwaita Jeshi la Yehova) mnataka kusema mnaijua Biblia kuliko Mimi mkatoliki (kiukweli ni kwamba kama ilivyo kwa wakatoliki wengi duniani baba angu hakuwa anaijua biblia kihivyo). Akaendelea kuliko kujiunga na kanisa lenu si bora nirudi kwenye dini yangu ya ukoo (uislamu)

kauli hii ya baba ilipanda kitu kikubwa sana ndani ya nafsi yangu kuhusu uislamu.

Katikati ya miaka ya 2000 dada angu aliolewa na muislamu akabadili dini.

So kwangu Mimi kurejea kwenye uislamu wala hata sio tatizo.

Now kuhusu mwanamke wa kizanzibari.

Kwa muda mrefu sana nimekuwa nilipendezwa kuwa na mke wa.kizanzibari.

Nataka kwenda Zanzibar kwa ajili ya kutafuta mwanamke wa kuoa.

sifa
1. Awe mzanzibari.
2. Umri miaka.16 hadi 23 (asiwe na mtoto) Mimi umri wangu ni miaka 38.
3. Elimu darasa la saba na kuendelea (Mimi elimu yangu ni chuo kikuu nimejiajiri naishi Dar)
4. Awe mcha Mungu.
5. Akiwa mwembamba mrefu nitafurahi zaidi.

Mbinu nitakayo itumia kumpata.

Nataka kwenda Zanzibar then niende msikitini niongee na mzee au wazee niwajulishe adhma yangu.

Je, kwa mbinu hii nitafanikiwa? Wazoefu nipeni mwongozo.

Naweza kwenda hata Pemba.
Kwa kufuatilia maelezo yako tuu, unaonekana bila mashaka yoyote kuwa Kuna fuse flani kichwani zimekatika
 
Ila tunatofautiana sana kimaisha mpaka akili.......mtoto wa kike ninaye..........ila namuomba mwenyezi mungu maana miaka 16 anakuwa form 2 sasa wewe unamuozesha au wewe ukusoma ..........? Ulivyo maliza madrasa yako basi maisha yaendelee si ndio? Ndio kuraan aitambui mwanamke kabisa ndio maana mnaona wanawake kama takataka...........yaani wewe ni mkubavu kabisa kama utambui haki ya mtoto wakike ........mwache asome aje kuwa wife material .....asije kulika ki masikhara na wahuni mkubavu tenaa wewe

Wewe UNAISHI dunia ipi mkuu? Miaka 16 form two? Are u serious? Mimi nimezaliwa mwaka 85 form four nimemaliza na miaka 17 halafu wewe mtoto wako anaishi karne hii form two awe na miaka 16? Mkuu siku hizi watoto wanamaliza form four sana miaka15 au 16.

Hilo tuliweke pembeni. Watoto wa kike wanaanza kupigwa miti wakiwa na miaka kumi na tatu. Huyo miaka kumi na Sita ni mzoefu kabisa wala.sio mtoto. Chaguo ni lako umuache wahuni na bodaboda wamtafune au umuoze kwa heshima
 
Wewe UNAISHI dunia ipi mkuu? Miaka 16 form two? Are u serious? Mimi nimezaliwa mwaka 85 form four nimemaliza na miaka 17 halafu wewe mtoto wako anaishi karne hii form two awe na miaka 16? Mkuu siku hizi watoto wanamaliza form four sana miaka15 au 16.

Hilo tuliweke pembeni. Watoto wa kike wanaanza kupigwa miti wakiwa na miaka kumi na tatu. Huyo miaka kumi na Sita ni mzoefu kabisa wala.sio mtoto. Chaguo ni lako umuache wahuni na bodaboda wamtafune au umuoze kwa heshima
Tokaaaaaaaaaaa hapa jinga kabisa............zombie wa 2090 wewe.........ukizaliwa na darasa la saba ........basi na wewe unakuwa darasa la saba.........mkeo pia darasa la saba.......watoto mpaka wajukuu pia darasa la saba kisa unataka heshima .......ndio nyie mnaosema vyeo wanapeana huku shule ujaenda ........utapata wapi kazi huku ujasoma na utaki kusomesha jamii yako kwa makusudi kwa kuogopa kuliwa kimasikhara na wahuni........
Ndio nyie mnao fanya baadhi ya jamii hazina hata msomi mwenye degree katika ukoo kwa kuendesha maisha kipwagu pwagu..............elimika abunuasi wewe
 
Tokaaaaaaaaaaa hapa jinga kabisa............zombie wa 2090 wewe.........ukizaliwa na darasa la saba ........basi na wewe unakuwa darasa la saba.........mkeo pia darasa la saba.......watoto mpaka wajukuu pia darasa la saba kisa unataka heshima .......ndio nyie mnaosema vyeo wanapeana huku shule ujaenda ........utapata wapi kazi huku ujasoma na utaki kusomesha jamii yako kwa makusudi kwa kuogopa kuliwa kimasikhara na wahuni........
Ndio nyie mnao fanya baadhi ya jamii hazina hata msomi mwenye degree katika ukoo kwa kuendesha maisha kipwagu pwagu..............elimika abunuasi wewe
Wewe ulie andika hapa ni msomi. Mwenye degree?
 
Wenye above 23 wataolewa na nani sasa kama wote tunataka below 😁
 
Unataka kuoa Binti muislamu au Binti mzanzibari ?
 
kuhusu kuoa mwanamke wa kizanzibari muislamu wakati wewe sio muislamu hiyo ni ngumu Sana
Halafu ongezea katoka bara! Kwa muda niliokaa huku, kuna ugumu wa kuoa mwanamke wa huku hata kama ni muislamu mwenzao kutoka bara. (Utakuwa shahidi)

Mwanaume wa huku ataoa mwanamke kutoka bara, lakini ukweli kutoka moyoni huyo mwanamke atapata sana mateso ya kisaikolojia hasa kama wanakaa huku Zanzibar! (Utakuwa shahidi)

Wanawake kutoka bara iwe muislamu au mkristo huchukuliwa kwa jicho la tofauti na ni baya.Wanaume ndiyo kabisa.(Utakuwa shahidi).

Sifa za wanawake wa huku hazitofautiani sana na wanawake wa pwani. Viburi , ujeuri na kupandisha sauti ni kawaida tu.Mwanamke wa huku hapigwi na ni nadra sana kukuta mwanamke kapigwa (Utakuwa shahidi)

Baba mkwe anakuozesha mwanae kwenye usia anamwambia "akikushinda njoo nyumbani chumba chako bado kipo".

Dini imesema ahudumiwe kwa kila kitu yeye kazi yake kukaa ndani na kuangalia nyumba, watoto na kumstarehesha mume.Wenyewe wamezoea, wewe je? Je, dunia tuliyopo inaruhusu hivyo ukilinganisha na vipato vyetu tulio wengi?
 
Back
Top Bottom