Nataka kwenda kwenye kaburi kule Chato tarehe 17 March. Naombeni utaratibu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Nataka kwenda kulishughulikia lile kaburi. Nitalishughulikiaje? Naomba ibakie siri yangu tu.

Lakini mpende msipende tarehe 17 nitakuwa huko kulishughulikia

Ili iwe funzo kwa viongozi mliopo madarakani kuwatendea mema wananchi kama afanyavyo mama.

Mama wa watu kaombwa
1. Katiba ... Kakubali
2. Maslahi ya Lissu...katoa
3. Mikutano ya siasa...kafungulia.
4. Uhuru wa vyombo vya habari...kaachia
5. Wafanyabiashara waliokamatwa kiuonevu ...kawaachia.
5. Ajira kwa vijana.....kaachia,
6. Vyeo na maslahi ya wafanyakazi kapandisha.
7. Uuaji, utekaji na wasiojulikana ....kafuta kabisa.


Huyu Nani atamsema vibaya akiondoka madarakani??
 

Umesahau;
8 Tozo za miamala ya simu. 9Vifurushi vya mitandao bei juu
10 Bei za vyakula juu
 
Ila hii imemshibda!
 

Angalizo: Kuna alitaka kwenda kuji help makaburini. Sina hakika kama "Fatwa" haikumhusu 🤣🤣.
 
Aisee we was living in hell while we sre alive
 
Kabisa yule shetani alipaswa kuzikwa baharini au ziwani hakustahili mazishi ya heshma kabisa
 
Alafu bado maisha magumu ukilinganisha na Jpm ambae.

Katiba hakukubali
Maslahi ya muhuni lisu hakumpa
Mikutano ya siasa alikataa
Uhuru wa habari alikataa
Wafanyabiashara wahuni aliwakamata
Wahuni aliwateka na kuwapiga risasi.
Akiwa madarakani kulikuwa na covid19
 
Nani kakuambia?Au umetoroka sehemu?
 
Nani kakuambia?Au umetoroka sehemu?
Mtaa unazungumza wenyewe, haihitaji hata elimu ya primary kujua maisha ni magumu kipindi cha samia kuliko kipindi cha Jpm.

Kipindi cha Jpm waliohangaika ni wahuni tu, na wengi wamekaa kimya japo Jpm Hayupo tena kwasababu wanajua uhuni waliokuwa wanafanya.
 
8.Boom la wanachuo
 
Mim unafki kusema kweli sikujaaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…