Nataka kwenda kwenye kaburi kule Chato tarehe 17 March. Naombeni utaratibu

Nataka kwenda kwenye kaburi kule Chato tarehe 17 March. Naombeni utaratibu

Mtaa unazungumza wenyewe, haihitaji hata elimu ya primary kujua maisha ni magumu kipindi cha samia kuliko kipindi cha Jpm.

Kipindi cha Jpm waliohangaika ni wahuni tu, na wengi wamekaa kimya japo Jpm Hayupo tena kwasababu wanajua uhuni waliokuwa wanafanya.
Kuna jambo umekariri na litakusumbua sana.Unaabudu mawe?Maisha yanasonga mbele boss wangu.Nengua kadiri ya mapigo ya ngoma.
 
Watu wanataka maslahi Yao sio kufinyiwa Kwa ndani.....maisha yako juu kuliko kipato cha uhalisia.........
 
Back
Top Bottom