Nataka kwenda kwenye kaburi kule Chato tarehe 17 March. Naombeni utaratibu

Kuna jambo umekariri na litakusumbua sana.Unaabudu mawe?Maisha yanasonga mbele boss wangu.Nengua kadiri ya mapigo ya ngoma.
 
Watu wanataka maslahi Yao sio kufinyiwa Kwa ndani.....maisha yako juu kuliko kipato cha uhalisia.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…