Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #61
Mademu wenye misambwanda kule hawakoWee unataka kuzamia TU ulaya, acha janja janja[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mademu wenye misambwanda kule hawakoWee unataka kuzamia TU ulaya, acha janja janja[emoji4]
Silaha za nchi za Magharibi zimetua kwa MrusiKabla ya kulaani , unatakiwa kujua chanzo cha vita, chanzo cha uvamizi.
kwa sasa jipange wewe na familia yako namna ya kuja kukabiliana na hali ya kiuchumi miezi mitatau ijayo.
Uingereza, ufaransa, germany tayari wameingia vitani kusaidia ukrane, wametoa silaha, baadaye wanajeshi.
China na India wataingia vitani upande wa Urusi.
Wafadhili wa uchumi wetu wanaingia vitani wengine upande huu wengine upande ule.HAKUTAKUWA NA VISETI!
NimejizindikaYaan Uta R.I.P fasta yaaan......uliona zile sijui ni iteje bomba la moto kama mtu anamwagilia bomba la moto zile helkopta za ukraine zilivyo shambuliwa angani......
Hamna mtu wenye imanina wewe. Hata huheshimiwi tena kwani umekuwana tabiaya kutukana wanaokukosoaMkuu mimi sio MCCM kabisa. Chama cha Majambazi.
Tuma hela kwangu nikusaidie kufuatilia passport na Visa!Ndugu wana @JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine 🇺🇦
Ukraine atavute mpunga US atangaze watu wa kujitolea,mercenaries tuko wengi,Sasa hapa Bongo mochosho tuu sasa tunafanya nini?Ukijua namna ya kwenda nipitie hapa tarime twende wote mkuu, tukajitolee
Ukiwa mstari wa mbele hujipeleki hovyo hovyo Ili ukauwawe au kukamatwa.![]()
Rais Zelensky hajulikani aliko
Inaelezwa kwamba aliko Rais Zelensky ni suala lililowekwa siri baada ya mwenyewe kuwaambia viongozi wa Umoja wa Ulaya kwamba ni mtu wa kwanza katika orodha ya watu wanaolengwa na Urusi.
Japokuwa rais huyo ametoa pendekezo la kutaka mazungumzo na Urusi kuhusu madai muhimu yaliyotakiwa na Moscow, ambayo ni kuitaka Ukraine itangaze kuwa haina upande na itaaachana na dhamira yake ya kutaka kujiunga na NATO.
Urusi kwa upande wake imejibu pendekezo hilo ikisema iko tayari kutuma ujumbe wake nchini Belarus kuyazungumza hayo.
Mwandishi: Saumu Mwasimba
Mhariri: Mohammed Khelef
DW Kiswahili
Umetumia bangi ya wapi vile! Na watu kama wewe ndio mnasababisha bangi iendelee kuwekwa kwenye kundi la madawa ya kulevya. Nenda hata usiombe kibali.Nikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia [emoji635] nchini Ukraine [emoji1255].
Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine [emoji1255] aliyoiingia kimabavu.
Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine [emoji1255].
Natanguliza shukrani za dhati.
Nyie mnaoona kila jasiri ni mvuta bangi ndio wenye matatizoUmetumia bangi ya wapi vile! Na watu kama wewe ndio mnasababisha bangi iendelee kuwekwa kwenye kundi la madawa ya kulevya. Nenda hata usiombe kibali.
Nikamsaidie nani?Ungeanza DRC kwa waafrika wenzako...
Nabii hakubaliki nyumbaniKongo kwa ndugu zako ulienda? Vip zimbabwe? Ethiopea je?
Pilipil usiyoila yakuwasha nini.
Unafiki tutaacha Lin waafrika?, Yaan hao watu kwa upendo gan ulionao wa kushindwa kuthamini nduguzo wa Race yako na kuwakimbilia hao wasiokuhusu wala kukutambua? Unafiki kama huo hata dini zote zimekataa, achilia mbali, ukiwa na elimu ya kujitambua huwez fanya upumbavu kama huo.
Jadiri uonevu anaofanyiwa muafrika kwa kunyanyaswa ktk ardhi yake, achana na mambo yasiyo kuhusu
Umeona ehhUkraine atavute mpunga US atangaze watu wa kujitolea,mercenaries tuko wengi,Sasa hapa Bongo mochosho tuu sasa tunafanya nini?
Wakongoman dhidi ya Waasi wa ADF.Nikamsaidie nani?
Passport ninayo, Ukraine 🇺🇦 Watanzania hatuingii na visaTuma hela kwangu nikusaidie kufuatilia passport na Visa!
OK sasa hawa wengine wamehasiwa, wanaishije?Wakongoman dhidi ya Waasi wa ADF.