HeeeKipindi ana kiki kapigwa sana miti na mastage show wake, saizi kasanda anaanza kutuletea shobo wazungu
Kwani aliolewa au imekuwajekwa sifa hizo na bado anaweka vigezo sasa cku tumuone na ngozi nyeusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaaaaaa ,mzungu kichaa ww au mzungu mwenye pesa zake mkuuKipindi ana kiki kapigwa sana miti na mastage show wake, saizi kasanda anaanza kutuletea shobo wazungu
Ana wtt km ckosei saba au cta na ajazaa na mwanaumee mmojaaUshaonja utamu wa yesu nan anataka kushare na wewe
Anyway ana watoto au mtoto na naona umri umeenda sura ishakuwa ngumu kama kitambaa cha suit
Noma😂😂Ana wtt km ckosei saba au cta na ajazaa na mwanaumee mmojaa
Maishaaa ndugu usicheke unakuta ktk wanaume wt .kilaa mmoja anakuja na gia yk ya kuoaa mwishowe ndio hvyoNoma[emoji23][emoji23]