Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu na kujitambua ni vitu muhimu sana kwenye maisha ya mwafrikaMsanii wa Injili na Hit Maker wa 'Utamu wa Yesu' Rose Muhando anasema anaomba apate mume mzungu mwenye pesa.
Rose Muhando ameshea hilo kwenye Instagram yake akiipa promo wimbo wake mpya huku akitaja ombi lake analotamani mwaka huu 2022.
"Yesu nitendee, ombi langu mwaka huu nataka nipate mume mzungu na mwenye hela""
Alikua dini gani??Ana watoto tu lakini hajaolewa labda kama aliolewa kipindi bado hajabadili dini
Rose Mhando (ambaye hujulikana pia kwa jina la Rose Muhando; amezaliwa Dumila, Wilaya ya Kilosa, Mkoa wa Morogoro, nchini Tanzania, 1976) ni msanii wa muziki wa Injili katika lugha ya Kiswahili maarufu katika kanda ya Afrika Mashariki.Alikua dini gani??
Uzee wote huo bado unatafuta mumeMsanii wa Injili na Hit Maker wa 'Utamu wa Yesu' Rose Muhando anasema anaomba apate mume mzungu mwenye pesa.
Rose Muhando ameshea hilo kwenye Instagram yake akiipa promo wimbo wake mpya huku akitaja ombi lake analotamani mwaka huu 2022.
"Yesu nitendee, ombi langu mwaka huu nataka nipate mume mzungu na mwenye hela""
Ni mwanaume au Mwanamke mbona unachanganya. Halafu kuna umri ukifika sio lazima kuolewe halafu Mwanamke akifika miaka kuanzia 45 mpaka 55 anaacha kwenda menopause sasa anaolewa ili iwejeHakuna mwanaume asiyependa kuolewa
Makosa ya kiuandishi n mwanamkeNi mwanaume au Mwanamke mbona unachanganya. Halafu kuna umri ukifika sio lazima kuolewe halafu Mwanamke akifika miaka kuanzia 45 mpaka 55 anaacha kwenda menopause sasa anaolewa ili iweje