"Nataka Mume mzungu mwenye pesa" - Rose Muhando

"Nataka Mume mzungu mwenye pesa" - Rose Muhando

Kweli umeumia lol
Sijajifanya mstaarabu Wala ustaarabu wa mtu hautambuliki kwa yeye kujieleza kuwa mstaarabu.
Nimekukumbusha maneno yako uloandika yawakilisha matendo yako. Sijasuluhisha nimekueleza.
Ni juu yako kuendelea kuyatoa au kuacha

Uspanik rilaksi
Unatumia detector ya namna gani kugundua nimeumia?

Naona kupitia maandishi nayo yaandika unajiwekea mawazo kichwani mwako kimhemko ambayo mimi sina kusudio nayo

Na ndio maana nimekuita mnafki kwasababu hatua uliyoanza nayo ya kunikumbusha haikuonesha kama imetoka kwa mtu mwenye busara, ilikuwa na maneno ya mipasho ambayo nayatafsiri kama matusi

Kama mweusi baki na weusi wako watu wakujue kuwa we mweusi. Na kama ni mweupe ifahamie hivyo

Sipendi ukijvu, we ni mnafki

NB: utakuja kusema nimekasirika wakati kumbe nakuelezea namna ulivyo
 
Mimi sijali kuhusu shombo, nazungumzia unafki wako ambao ulianza nao mwanzo wakujifanya mtu fulani muungwana uliye staarabika au mtu fulani mdini unayechukizwa sana na matusi na ukaja kama msuluhishi kuni cool down kumbe nia yako uje unitusi na mimi

Kuwa mdini au mstaarabu haimzuii mtu kukuambia ukweli ndugu. Ustake kutumia Imani za watu kuwanyanyasa ati sababu hawatokujibu.
Mungu mwenyewe anapenda watu jasiri, wakweli, wasioogopa

Sasa wewe endelea kumtusi da Rose ati sababu anajua dini hatokujibu uone Moto wake
 
Unatumia detector ya namna gani kugundua nimeumia?

Naona kupitia maandishi nayo yaandika unajiwekea mawazo kichwani mwako kimhemko ambayo mimi sina kusudio nayo

Na ndio maana nimekuita mnafki kwasababu hatua uliyoanza nayo ya kunikumbusha haikuonesha kama imetoka kwa mtu mwenye busara, ilikuwa na maneno ya mipasho ambayo nayatafsiri kama matusi

Kama mweusi baki na weusi wako watu wakujue kuwa we mweusi. Na kama ni mweupe ifahamie hivyo

Sipendi ukijvu, we ni mnafki

NB: utakuja kusema nimekasirika wakati kumbe nakuelezea namna ulivyo

Umeumia eeeh😅😅😅😅😅😅
Sisi tmepewa kibali Cha kuwajibu watu wa aina yako Kama nilivyokujibu😆😆😆

Kwenye biblia kitabu Cha ufunuo wa Yohana tumepewa kibali Wala sio ukijivu Wala unafki Kama unavyoita wewe😅😅😅 Hayo ni maagizo ya kudeal na watu wa aina yako.
Leo nimekulipa lala unono✌️✌️✌️✌️

Ufunuo 18:6​

Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni maradufu.
 
Afanye mawasiliano na Bill Gates, nilisikia juzi tu kaachana na mkewe
 
Umeumia eeeh😅😅😅😅😅😅
Sisi tmepewa kibali Cha kuwajibu watu wa aina yako Kama nilivyokujibu😆😆😆

Kwenye biblia kitabu Cha ufunuo wa Yohana tumepewa kibali Wala sio ukijivu Wala unafki Kama unavyoita wewe😅😅😅 Hayo ni maagizo ya kudeal na watu wa aina yako.
Leo nimekulipa lala unono✌️✌️✌️✌️

Ufunuo 18:6​

Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni maradufu.
Kwa hiyo kumbe hayo matusi umeyatoa kwenye biblia?
 
Kuwa mdini au mstaarabu haimzuii mtu kukuambia ukweli ndugu. Ustake kutumia Imani za watu kuwanyanyasa ati sababu hawatokujibu.
Mungu mwenyewe anapenda watu jasiri, wakweli, wasioogopa

Sasa wewe endelea kumtusi da Rose ati sababu anajua dini hatokujibu uone Moto wake
We ni mnafki unayejificha kwenye ulokole
 
Kwa hiyo kumbe hayo matusi umeyatoa kwenye biblia?

Kwenye biblia hakuna matusi ila kuna majibu ya wenye matusi kama wewe. Ambapo mkishapewa hayo majibu mnaonaga mmeonewa😅😅😅

Kila baya utakalofanya lazima ulipwe mara dufu

Ufunuo 18:6
"Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni maradufu."

Tusiokuwa wanafki lazima tukujibu.... VUMILIA📍🔨
 
Kwenye biblia hakuna matusi ila kuna majibu ya wenye matusi kama wewe. Ambapo mkishapewa hayo majibu mnaonaga mmeonewa😅😅😅

Kila baya utakalofanya lazima ulipwe mara dufu

Ufunuo 18:6
"Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni maradufu."

Tusiokuwa wanafki lazima tukujibu.... VUMILIA📍🔨
We mnafki wapi bible imesema utumie lugha chafu kwa walioanza kukutusi?

Peter 3:9:17 Don’t be hateful and insult people just because they are hateful and insult you
 
We mnafki wapi bible imesema utumie lugha chafu kwa walioanza kukutusi?

Peter 3:9:17 Don’t be hateful and insult people just because they are hateful and insult you

Wewe umemtukana sana da Rose
Tulia upokee malipo
 
Wewe umemtukana sana da Rose
Tulia upokee malipo
We ni snitch even the bible says you cant take out the little dust in my eye, look at yourself you still got the biggest wood in your own eye

Why do you notice the little piece of dust in my eye but you do'nt notice the big piece of wood in your own eye?

you hypocrite ebu toa kwanza hicho kimbao machoni mwako upate nafasi ya kuona vya upande wangu

Matthew 7:1-5 Don’t judge others, or you will be judged. You will be judged in the same way that you judge others, and the amount you give to others will be given to you
 
We ni snitch even the bible says you cant take out the little dust in my eye, look at yourself you still got the biggest wood in your own eye

Why do you notice the little piece of dust in my eye but you do'nt notice the big piece of wood in your own eye?

you hypocrite ebu toa kwanza hicho kimbao machoni mwako upate nafasi ya kuona vya upande wangu

Matthew 7:1-5 Don’t judge others, or you will be judged. You will be judged in the same way that you judge others, and the amount you give to others will be given to you

Povu lote hili limeanzia kusikia Rose anataka mume😆😆😆 Jibadilishe uwe mzungu ujaribu bahati yako😅😅

Kumjua Mungu hakumfanyi Rose Wala mwingine yoyote kuwa mnyonge ili umwambie maneno machafu unayotaka


Ufunuo wa Yohana 21:27

Na ndani yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo.
 
Povu lote hili limeanzia kusikia Rose anataka mume😆😆😆 Jibadilishe uwe mzungu ujaribu bahati yako😅😅

Kumjua Mungu hakumfanyi Rose Wala mwingine yoyote kuwa mnyonge ili umwambie maneno machafu unayotaka


Ufunuo wa Yohana 21:27

Na ndani yake hakitaingia kamwe cho chote kilicho kinyonge, wala yeye afanyaye machukizo na uongo, bali wale walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo.
It's always the ones with the dirty hands pointing the fingers.
 
Ushaonja utamu wa yesu nan anataka kushare na wewe

Anyway ana watoto au mtoto na naona umri umeenda sura ishakuwa ngumu kama kitambaa cha suit
Sasa matusi ya nini??!!ndio ana watoto na kuchagua anayempenda ni uwamuzi wake yeye binafsi, jiongeze wewe naona una mihemuko
 
Back
Top Bottom