"Nataka Mume mzungu mwenye pesa" - Rose Muhando

"Nataka Mume mzungu mwenye pesa" - Rose Muhando

huyu mama 'ngada' ina mmaliza kimya kimyaa, hakuna hata wa kumsaidia ………….!
 
ALIYE JIRAN NA ROSE MHANDO MUONYESHENI HII ORODHA YA HAWA WAZUNGU MATAJIRI:

  • Bernard Arnault. Age: 72. ...
  • Bill Gates. Age: 66. Residence: Washington. ...
  • Larry Page. Age: 48. Residence: California. ...
  • Mark Zuckerberg. Age: 37. Residence: California. ...
  • Sergey Brin. Age: 48. Residence: California. ...
  • Warren Buffett. Age: 91. Residence: Nebraska. ...
  • Steve Ballmer. Age: 65. Residence: Washington. ...
  • Larry Ellison. Age: 77. Residence: Hawaii.

SWALI WEWE UNA NINI CHA KUFANYA KWA HUYO MZUNGU TAJIRI? JE U BIKRA?
 
Ni mwanaume au Mwanamke mbona unachanganya. Halafu kuna umri ukifika sio lazima kuolewe halafu Mwanamke akifika miaka kuanzia 45 mpaka 55 anaacha kwenda menopause sasa anaolewa ili iweje
Kuliwa tigo mkuu
 
ALIYE JIRAN NA ROSE MHANDO MUONYESHENI HII ORODHA YA HAWA WAZUNGU MATAJIRI:

  • Bernard Arnault. Age: 72. ...
  • Bill Gates. Age: 66. Residence: Washington. ...
  • Larry Page. Age: 48. Residence: California. ...
  • Mark Zuckerberg. Age: 37. Residence: California. ...
  • Sergey Brin. Age: 48. Residence: California. ...
  • Warren Buffett. Age: 91. Residence: Nebraska. ...
  • Steve Ballmer. Age: 65. Residence: Washington. ...
  • Larry Ellison. Age: 77. Residence: Hawaii.

SWALI WEWE UNA NINI CHA KUFANYA KWA HUYO MZUNGU TAJIRI? JE U BIKRA?
Warren atamfaa zaidi
 
Kila la heri kwa Dada Rose
Mungu akupe haha ya moyo wako
 
Kipindi ana kiki kapigwa sana miti na mastage show wake, saizi kasanda anaanza kutuletea shobo wazungu

Hongera na wewe kua Kati ya mastage show wake.
Ila sababu hukumuoa ana haki ya kuolewa Kama anavyojiskia

Hukuwa na haja ya kumtukana. Yule ni mama, Dada, shangazi, binti kwa wengine Kama ulio nao wewe.
 
Msanii wa Injili na Hit Maker wa 'Utamu wa Yesu' Rose Muhando anasema anaomba apate mume mzungu mwenye pesa.

Rose Muhando ameshea hilo kwenye Instagram yake akiipa promo wimbo wake mpya huku akitaja ombi lake analotamani mwaka huu 2022.

"Yesu nitendee, ombi langu mwaka huu nataka nipate mume mzungu na mwenye hela""


Akatafute wapemba wa ilala...halaf naona ameanza tena kubwia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera na wewe kua Kati ya mastage show wake.
Ila sababu hukumuoa ana haki ya kuolewa Kama anavyojiskia

Hukuwa na haja ya kumtukana. Yule ni mama, Dada, shangazi, binti kwa wengine Kama ulio nao wewe.
Mama D kacharuka
 
Hongera na wewe kua Kati ya mastage show wake.
Ila sababu hukumuoa ana haki ya kuolewa Kama anavyojiskia

Hukuwa na haja ya kumtukana. Yule ni mama, Dada, shangazi, binti kwa wengine Kama ulio nao wewe.
Asante kwa kunikumbsha kwamba sikuwa na haja ya kumtukana, ila hapo hapo umeongezea maneno mengine ambayo kwangu nayatafsiri kama matusi

Wapi nimeeleza kua niliwahi kua mmoja wa mastage show wake?

Hilo ni tusi lililopenyezwa indirectly kinafki, hivi ni kweli hupendi matusi?

au una double standards kwamba watu fulani wasitukanwe ila watu wa aina fulani hata wakitukanwa sio ishu?
 
Asante kwa kunikumbsha kwamba sikuwa na haja ya kumtukana, ila hapo hapo umeongezea maneno mengine ambayo kwangu nayatafsiri kama matusi

Wapi nimeeleza kua niliwahi kua mmoja wa mastage show wake?

Hilo ni tusi lililopenyezwa indirectly kinafki, hivi ni kweli hupendi matusi?

au una double standards kwamba watu fulani wasitukanwe ila watu wa aina fulani hata wakitukanwa sio ishu?

Maandiko yako yameakisi hasira na chuki ya wazi kwamba anayeweza kuongea hayo ni yule mwenye uhakika na hayo matendo anayosema.
Na kujiamini ulikoonyesha Kama wewe sio mtendaji basi ni mtunzi hodari wa mambo yasiyokuwako
 
Maandiko yako yameakisi hasira na chuki ya wazi kwamba anayeweza kuongea hayo ni yule mwenye uhakika na hayo matendo anayosema.
Na kujiamini ulikoonyesha Kama wewe sio mtendaji basi ni mtunzi hodari wa mambo yasiyokuwako
Maandiko yangu yameakisi chuki, ila hujaelezea maandiko yako dhidi yangu yameakisi nini

Unatumia chuki kukemea chuki?

Tangu lini mkono wenye shombo ukafukuza paka?
 
Maandiko yangu yameakisi chuki, ila hujaelezea maandiko yako dhidi yangu yameakisi nini

Unatumia chuki kukemea chuki?

Tangu lini mkono wenye shombo ukafukuza paka?

Ulipomrushia Dada Rose shombo hukujua Wala kuhisi ni shombo hadi nilipoirudisha kwako ikakunukia

Kweli mzigo mzito mbebeshe msukuma😅😅

Nashukuru shombo ulikotoa kwake limekunukia na wewe✌️
 
Ulipomrushia Dada Rose shombo hukujua Wala kuhisi ni shombo hadi nilipoirudisha kwako ikakunukia

Kweli mzigo mzito mbebeshe msukuma😅😅

Nashukuru shombo ulikotoa kwake limekunukia na wewe✌️
Mimi sijali kuhusu shombo, nazungumzia unafki wako ambao ulianza nao mwanzo wakujifanya mtu fulani muungwana uliye staarabika au mtu fulani mdini unayechukizwa sana na matusi na ukaja kama msuluhishi kuni cool down kumbe nia yako uje unitusi na mimi
 
Mimi sijali kuhusu shombo, nazungumzia unafki wako ambao ulianza nao mwanzo wakujifanya mtu fulani uliye staarabika au mtu fulani mdini unayechukizwa sana na matusi na ukaja kama msuluhishi kuni cool down kumbe nia yako uje unitusi na mimi
Kweli umeumia lol
Sijajifanya mstaarabu Wala ustaarabu wa mtu hautambuliki kwa yeye kujieleza kuwa mstaarabu.
Nimekukumbusha maneno yako uloandika yawakilisha matendo yako. Sijasuluhisha nimekueleza.
Ni juu yako kuendelea kuyatoa au kuacha

Uspanik rilaksi
 
Back
Top Bottom