Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni changudoa... ana hangover ya msiba wa mwezi march 2021 bado.Maandiko yangu yameakisi chuki, ila hujaelezea maandiko yako dhidi yangu yameakisi nini
Unatumia chuki kukemea chuki?
Tangu lini mkono wenye shombo ukafukuza paka?
Hana ulokole huyo malaya.We ni mnafki unayejificha kwenye ulokole
Hapa ndipo tunazidiwa kama nchi Elimu Elimu hapa ndio shida ipo ....Elimu na kujitambua ni vitu muhimu sana kwenye maisha ya mwafrika
karibu bongolandHapa ndipo tunazidiwa kama nchi Elimu Elimu hapa ndio shida ipo ....
Kwani angekaa nalo moyoni kwa utu uzima huu angepungukiwa jambo?
Kuolewa na mzungu ndio kuwin maisha au kuna lingine la ziada
Promo zingine lakini kha!
Nami nampenda Yesu
Hahahhh bongo raha sana
'Cute and brainy'........👆👆🤣🤣🤣
Huyu dada mbali na mapitio anayopitia mm napenda sana nyimbonzaje Na Ile kuchangamka kwake stejini. Kuna wimbo ametoa wa Mungu ibarike Kenya/bariki Uhuru......DaahKila la heri kwa Dada Rose
Mungu akupe haha ya moyo wako
Mkizeeka muwe mnatulia ili kulea wajukuu sio kutaka kuolewa