Nataka mwanaume anaejua kupika

Nataka mwanaume anaejua kupika

Dada Mimi najuwakupika, Niko tayari, lkn sijaiona picha yako. Nitafute kwa namb 0715683965 saw? Tujuwane kwaza bhana pengine siyo chaguo lako, unataka mnene mweusi mrefu nitajuwaje?
 
yaaan hum kila kukicha lazima ukutane na watafuta wachumba hiv mko seriously au mnanogeshaga tu
 
Me nikikuchemshia tambi mbona utafurahi.
 
Umeshanipata,ila tutaelekezana humu hum...enhee unataka pish gani.
 
nataka mwanaume anaejua kupika
Hapa umefika unachokihitaji cha kupika Mimi napika..
Lkn na mm nataka mwanamke asiekua Mvivu..mwenye mashoga wengi kila Kona....mwenye kukesha na sim akichat na kuweka sim yake password..

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Back
Top Bottom