Mjinga sana mimi
Member
- Aug 18, 2022
- 96
- 331
Vipi ushamalizana na shemeji etu wa kwanza asje tuletea fujo kwa Shem wa piliMwanamke
Mko kimaslahi hakuna cha mapenzi wala niniWalimu wa kiume mmewakosea nn kinadada[emoji23][emoji23][emoji23]
Tuma tu maombi mkuuMimi pia muajiriwa wa serikalini. Ni mtunza mochwari Muhimbili, vigezo vingine vyote vya kimuonekano nimekidhi. Je nafaa?
Jana tu na leo ndo unasema amekaa kimya?Umekaa kimya
Mie nacomment kama mshenga wakoFunga uzi.
Nicheki PM.
Pls wengine msicomment mpite.
Assnte Mungu
PM mambo yameshanoga. Andaa suti mzee. Huu mwaka hauishi.Mie nacomment kama mshenga wako
Jioe mwanyeweJamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Haina tabu mzee, suti ipo tayariPM mambo yameshanoga. Andaa suti mzee. Huu mwaka hauishi.
Mwalimu mimi hapa nina helaaaaaa na maisha mazuri tu. Mie nakula, nakunywa na kuvaa nitakavyo. Ni raha tu kwanguJamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
kumbe ajira bora ni ya serikalini tu?....mimi nimeajiriwa serikalini ni nurse assistant wale tunaopiga deki wodiniJamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
We nae una kiherehere embu tulia huko..Mbona anaefanya kazi Serikalini tu? Hujui kuna tunaofanya kazi sekta binafsi tuna mtonyo mrefu mara nne ya hao wa Serikalini na tunasali sana?
Mie nafanya kazi ila sasa ni mwalimu na mie natafute mke kama wewe.. So inakuwaje mchumba 😊Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Weka no ya simu watakuja wengi sanaJamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.