Hajibu PM π€£π€£π€£Nimeheshimu uliyoyasema sasa sikutegemei kwenye mada ya mtafutaji mpya [emoji16]
Jamani nipo single nina miaka 26 ninafanya kazi nataka mwanaume anaefanya kazi Serikalini asiwe mwalimu tu asiwe na kitambi mrefu af mweusi kwa sababu mimi mweupe awe Mkristo maana mimi pia mkristo napenda sana kku
Wakamaria hawajawekwa hapo mkuu usiingize pua yako utaambulia vumbi tuHuu uzi umetubagua sisi wazee wa oddsπͺ
Huyu binti hayupo seriaz kabisa asee nimeumia sanaWakamaria hawajawekwa hapo mkuu usiingize pua yako utaambulia vumbi tu
πππ
Ukiwa na kitambi kupiga show mtihaniChagua chagua sana mwisho utapata kiwavi. Kitambi kinakuudhi nini?
Wazee wa odds za over under wamewekwa pembeni ππππ»Huyu binti hayupo seriaz kabisa asee nimeumia sana
Unazungumzia show ipi mkuu?Ukiwa na kitambi kupiga show mtihani
3-1 πππKama hii ya simba vs agosto iliyoisha
Baadae utasikia Mradi awe anapumua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baada ya 2 years leta mrejesho ulivyochakazwa
kitambi mzigo kazi itakuwa ngumuJina linasadifu beauty atatakaje kitambi jamn π€£
ππkitambi mzigo kazi itakuwa ngumu
Usipende tu kusali, penda zaidi kuwa MTIIFU kwa MUNGU, ukizishika Amri zake zote na maagizo yake.maana mimi pia mkristo napenda sana kusali.
Mad max ipo siku ntakutafuta tuombe uzima mtaalamu wa magari unanichekesha sana JF...Funga uzi.
Nicheki PM.
Pls wengine msicomment mpite.
Asante Mungu
Bila shida man. Hatuna baya na mtu sisi.Mad max ipo siku ntakutafuta tuombe uzima mtaalamu wa magari unanichekesha sana JF...