Nataka na nina Nia ya Kuwa Tajiri Nipeni Mawaidha yenu!

kama
bado hujaolewa tafuta mwanaume wa kichagga, hasa MARANGU.
 
Sure
Mmh kama kufanya Kazi sana ndo kuwa tajiri basi wakulima wengi wangekuwa matajiri ila si ndo babu na bibi mliowakimbia Shamba huko!

Utajiri ni siri ya alionao!
 
Hii haimfanyi mtu kuwa tajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…