Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Nizidi kuwa markAwepo kwenye attendance mkuu usimsahau.😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nizidi kuwa markAwepo kwenye attendance mkuu usimsahau.😆
Naona Unataka kuingia Kwenye Maisha ya "Usafi wa Moyo",Huo ndio unaitwa "Useja" ambao Mapadre na Watawa huishi.Habari ndugu zangu.
Mimi ni mwanaume rijali kabisa, sina shida yeyote nina watoto wawili, sasa baada ya kujithamini kwa muda mrefu nimedhamiria kutoka moyoni kutojihusisha na wanawake tena.
Yaani ni stop kufanya mapenzi, niwe mtu wa mazoezi yaani nifanye mazoezi kufa na kupona, nitoe sumu zote mwilini, nirekebisha magoti yangu maana nimekuwa mtu wa kufanya mapenzi ovyo.
Pia vyakula nitakavyokula visiwe vya mafuta na chumvi ya viwandanai, nile matunda fresh na maji ya kutosha, nna hakika nitarudi kama zamani nilipokuwa na miaka 15.
Unajua baada ya kutoa shahawa zako kipururu nafsi yako inakuwa na huzuni na kuwaza kujifikiria ya nini sasa umefanya mapenzi, ghafla unakuwa mpole, yote haya yanatokana kwa tamaa za kipuuzi.
Sasa nataka niwe mtu wa mazoezi, yawe ndo mwanamke wangu. Sex sex ina raha pale unapotoa shahawa lakini baada ya hapo ni majuto tu.
Basi nakaribisha mawazo yenu kunisaidia mimi kijana wenu.
Kijana wa hovyoHongereni sana wazee. Mimi nipo nawasubiri mademu zenu mtakaoacha niwarithi
Ile kitu ikisimama asbh hata akili zinarukaNitakuwa fit sitaumwa ovyo ovyo na nitasave pesa zangu,maana nina watoto 2 sasa natafuta kipi tena kwa wanawake zaidi ya presha na kujikuta unamtoa mtoto wa mtu roho,ni Bora kutojihusisha nao kwani ni dhambi kutokufanya mapenzi?? Hiyo ni dhamira yangu
Huna hela au huna nguvuHabari ndugu zangu.
Mimi ni mwanaume rijali kabisa, sina shida yeyote nina watoto wawili, sasa baada ya kujithamini kwa muda mrefu nimedhamiria kutoka moyoni kutojihusisha na wanawake tena.
Yaani ni stop kufanya mapenzi, niwe mtu wa mazoezi yaani nifanye mazoezi kufa na kupona, nitoe sumu zote mwilini, nirekebisha magoti yangu maana nimekuwa mtu wa kufanya mapenzi ovyo.
Pia vyakula nitakavyokula visiwe vya mafuta na chumvi ya viwandanai, nile matunda fresh na maji ya kutosha, nna hakika nitarudi kama zamani nilipokuwa na miaka 15.
Unajua baada ya kutoa shahawa zako kipururu nafsi yako inakuwa na huzuni na kuwaza kujifikiria ya nini sasa umefanya mapenzi, ghafla unakuwa mpole, yote haya yanatokana kwa tamaa za kipuuzi.
Sasa nataka niwe mtu wa mazoezi, yawe ndo mwanamke wangu. Sex sex ina raha pale unapotoa shahawa lakini baada ya hapo ni majuto tu.
Basi nakaribisha mawazo yenu kunisaidia mimi kijana wenu.
Acha uzinzi.Habari ndugu zangu.
Mimi ni mwanaume rijali kabisa, sina shida yeyote nina watoto wawili, sasa baada ya kujithamini kwa muda mrefu nimedhamiria kutoka moyoni kutojihusisha na wanawake tena.
Yaani ni stop kufanya mapenzi, niwe mtu wa mazoezi yaani nifanye mazoezi kufa na kupona, nitoe sumu zote mwilini, nirekebisha magoti yangu maana nimekuwa mtu wa kufanya mapenzi ovyo.
Pia vyakula nitakavyokula visiwe vya mafuta na chumvi ya viwandanai, nile matunda fresh na maji ya kutosha, nna hakika nitarudi kama zamani nilipokuwa na miaka 15.
Unajua baada ya kutoa shahawa zako kipururu nafsi yako inakuwa na huzuni na kuwaza kujifikiria ya nini sasa umefanya mapenzi, ghafla unakuwa mpole, yote haya yanatokana kwa tamaa za kipuuzi.
Sasa nataka niwe mtu wa mazoezi, yawe ndo mwanamke wangu. Sex sex ina raha pale unapotoa shahawa lakini baada ya hapo ni majuto tu.
Basi nakaribisha mawazo yenu kunisaidia mimi kijana wenu.
Hivo anKwamba hii mvua ndo imzuie 😃😃
Haya bhanaHivo an
ExactlyNizidi kuwa mark
Ndio imeisha hiyo 😂😂Mbona hivyo jamani 🤒😃😃🤣🤣
Hahaha [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Huwezi kuwa mtu wa mazoezi hata ukifanya tabia mbaya ?
Au kuna kitu unatuficha ???tuambie tu ndugu[emoji28]
R.I.P nguvu za kiume
Paka mkongo nyege zitakatika zenyeweMm nishakuwa kama ww miaka kadhaa nyuma sema nilichogundua mazoea mabaya sana ndo yanayofanya nishindwe kufikia lengo ila kwasasa nimegundua mbinu moja nayo ni kutafuta dawa ya kukata nyege ukiacha mafuta ya taa..
Wakuu kwa anayejua dawa ya kukata nyaege ukiacha mafuta ya taa ashare nasi..