To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Kumbe nawe una watoto mbona kubaguana sasa jamani....muoe tu dada wa watunina watoto wawili,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe nawe una watoto mbona kubaguana sasa jamani....muoe tu dada wa watunina watoto wawili,
Mwambie "mficha maradhi kifo humuumbua"
Wee mkorofi Sana, halafu kutwa kuni sema mimi 😁😂😂Huwezi kuwa mtu wa mazoezi hata ukifanya tabia mbaya ?
Au kuna kitu unatuficha ???tuambie tu ndugu😅
R.I.P nguvu za kiume
sitoacha tabia ya ukorofi,vipi na wewe huna nguvu za kiume? Fuata ushauri wa mwenzako hapo.🤣Wee mkorofi Sana, halafu kutwa kuni sema mimi 😁😂😂
Unataka ubake kukuHabari ndugu zangu.
Mimi ni mwanaume rijali kabisa, sina shida yeyote nina watoto wawili, sasa baada ya kujithamini kwa muda mrefu nimedhamiria kutoka moyoni kutojihusisha na wanawake tena.
Yaani ni stop kufanya mapenzi, niwe mtu wa mazoezi yaani nifanye mazoezi kufa na kupona, nitoe sumu zote mwilini, nirekebisha magoti yangu maana nimekuwa mtu wa kufanya mapenzi ovyo.
Pia vyakula nitakavyokula visiwe vya mafuta na chumvi ya viwandanai, nile matunda fresh na maji ya kutosha, nna hakika nitarudi kama zamani nilipokuwa na miaka 15.
Unajua baada ya kutoa shahawa zako kipururu nafsi yako inakuwa na huzuni na kuwaza kujifikiria ya nini sasa umefanya mapenzi, ghafla unakuwa mpole, yote haya yanatokana kwa tamaa za kipuuzi.
Sasa nataka niwe mtu wa mazoezi, yawe ndo mwanamke wangu. Sex sex ina raha pale unapotoa shahawa lakini baada ya hapo ni majuto tu.
Basi nakaribisha mawazo yenu kunisaidia mimi kijana wenu.
Mimi ninazo za kutosha, Hadi natumiwa elfu 3 😂🤣🤣sitoacha tabia ya ukorofi,vipi na wewe huna nguvu za kiume? Fuata ushauri wa mwenzako hapo.🤣
Kumbe mkishakojoa mnajutia eeehHabari ndugu zangu.
Mimi ni mwanaume rijali kabisa, sina shida yeyote nina watoto wawili, sasa baada ya kujithamini kwa muda mrefu nimedhamiria kutoka moyoni kutojihusisha na wanawake tena.
Yaani ni stop kufanya mapenzi, niwe mtu wa mazoezi yaani nifanye mazoezi kufa na kupona, nitoe sumu zote mwilini, nirekebisha magoti yangu maana nimekuwa mtu wa kufanya mapenzi ovyo.
Pia vyakula nitakavyokula visiwe vya mafuta na chumvi ya viwandanai, nile matunda fresh na maji ya kutosha, nna hakika nitarudi kama zamani nilipokuwa na miaka 15.
Unajua baada ya kutoa shahawa zako kipururu nafsi yako inakuwa na huzuni na kuwaza kujifikiria ya nini sasa umefanya mapenzi, ghafla unakuwa mpole, yote haya yanatokana kwa tamaa za kipuuzi.
Sasa nataka niwe mtu wa mazoezi, yawe ndo mwanamke wangu. Sex sex ina raha pale unapotoa shahawa lakini baada ya hapo ni majuto tu.
Basi nakaribisha mawazo yenu kunisaidia mimi kijana wenu.
Naaaam ,huo ndip uanaume.Mimi ninazo za kutosha, Hadi natumiwa elfu 3 😂🤣🤣
Ahh🤣😂, yupi Sasa ??, Sasa hivi sitaki madem, acha niwe bize na mambo yangu tu.Naaaam ,huo ndip uanaume.
Kazana kazana kijana hadi ajilete bila dowry.
Una umuhimu gani duniani wewe? Kula soup ya kati wewe,haijalishi unacho au huna.Ahh🤣😂, yupi Sasa ??, Sasa hivi sitaki madem, acha niwe bize na mambo yangu tu.
Yote yaambatane na kunyofoa kabisaSasa nataka niwe mtu wa mazoezi, yawe ndo mwanamke wangu. Sex sex ina raha pale unapotoa shahawa lakini baada ya hapo ni majuto tu.
Basi nakaribisha mawazo yenu kunisaidia mimi kijana wenu.
Nonsense 🤣😁😂Una umuhimu gani duniani wewe? Kula soup ya kati wewe,haijalishi unacho au huna.
Penda soup usipende mtu ila mimi nampenda mama yako mdogo usinifuate kwenye hilo,fuata nililokuambia
" piga soup piga soup utoke na shombo,shombo ni afya ya ngozi ya kitafunio maana kitafunwa kitamu sana"
Nguvu hamna hapo , kubali kijana...nguvu zerooooo!Nonsense 🤣😁😂
Nina weza kuanika taulo na jinzi, kwenye mnara wangu😁🤣Nguvu hamna hapo , kubali kijana...nguvu zerooooo!
Ninyi ndio vijana mnaobaka mifugo,tafuta mrembo.🤣Nina weza kuanika taulo na jinzi, kwenye mnara wangu😁🤣
Iam just focusing for now, masuala ya kuji fanya much know, ndo kuleta Toto zisizo na akili ka wewe😂Ninyi ndio vijana mnaobaka mifugo,tafuta mrembo.🤣