Nataka niagize Dye za kurudisha rangi za nguo zilizopauka rangi na kuchuja, Nipeni mawazo yenu ya ziada kuhusu hii business idea kwa bongo

Nataka niagize Dye za kurudisha rangi za nguo zilizopauka rangi na kuchuja, Nipeni mawazo yenu ya ziada kuhusu hii business idea kwa bongo

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
RIT29L_2.jpg


Habari zenu wakuu, nimepitia pitia mitandao ya huko kwa wenzetu nimeona kwamba huwa kuna unga ama vimiminika vinarejesha rangi za nguo zilizopauka rangi.

Kwa hapa kwetu nimeona nguo hasa hizi za dukani zina janga la kuondosha rangi hara sana waweza kununu aipo fresh ila ukifua nara mbili ama tatu kwisha habari.

Hii business idea imekaa vp >
 
Kwa hapa kwetu nimeona nguo hasa hizi za dukani zina janga la kuondosha rangi hara sana waweza kununu aipo fresh ila ukifua nara mbili ama tatu kwisha habari.

Nimewaza labda nilete solution ya dye maalum za kurudisha rangi za nguo ukiachana na hizi tulizozoea za viatu na nywele.

Hii business idea imekaa vp ?
 
Bonge la idea,tena uende Dodoma,kwenye maji ya chumvi,utapiga hela sana
 
Ukipata mizigo hiyo ipo idea unaeza Fanya kama kuupgrade mitumba na kuiuza kwa bei nzuri mfano watu wengi wanaoupgrade mitumba huwa wanatumia bleach kutengeneza Makoti ya jeans,Jins damaged,matshet ya mawingu nk so ukiwa na hizo product unaeza kujinoa kimtindo tafuta video za YouTube za Do it yourself DIY zinazohusiana na hizo Dye utapata idea kibao mzeh
 
Hivi haiwezekani kupata strong dye ambayo ukishachovya nguo haitoki hata ufanyaje. Iwe kama ni rangi original ya nguo, natafuta sana hiyo kitu maana nina kadet yangu hapa sitaki itupa.
 
Back
Top Bottom