Xi jiping
JF-Expert Member
- May 7, 2021
- 628
- 920
Napata hili wazo baada ya kuona makabila mengi ya Africa yanashindwa kuikomboa nchi kitechnolojia na kiuchumi kisa kua na uwezo mdogo wa kiakili. Nataka nianzishe kabila cha watu wenye akili kama wa Israel (kama unachuki nao kwa kujaliwa akili ruksa kutema povu)
Hapa natafuta magenius kama 100 hivi halafu tunaoa wanawake kutoka vijijini wenye akili nyingi kila mtu wanawake hata watu hivi.
Principal ni kuzaa watoto wengi.
Kwa mwaka wa kwanza tutakua tu 300
Wanaume 100
wanawake kila mtu watu-300
Mwaka wa kwanza-mtoto mmoja mmoja jumla watotot 300
Jumla ya watu=100+ 300+300 =700
Baada ya miaka mitano ni kabila kubwa sana la watu wenye akili😂😂😂
Halafu tunaanzisha na utamatuni wetu.
Vipi hii idea
Hapa natafuta magenius kama 100 hivi halafu tunaoa wanawake kutoka vijijini wenye akili nyingi kila mtu wanawake hata watu hivi.
Principal ni kuzaa watoto wengi.
Kwa mwaka wa kwanza tutakua tu 300
Wanaume 100
wanawake kila mtu watu-300
Mwaka wa kwanza-mtoto mmoja mmoja jumla watotot 300
Jumla ya watu=100+ 300+300 =700
Baada ya miaka mitano ni kabila kubwa sana la watu wenye akili😂😂😂
Halafu tunaanzisha na utamatuni wetu.
Vipi hii idea