Nataka nianzishe kabila langu. Je, inawezekana?

Nataka nianzishe kabila langu. Je, inawezekana?

Napata hili wazo baada ya kuona makabila mengi ya Africa yanashindwa kuikomboa nchi kitechnolojia na kiuchumi kisa kua na uwezo mdogo wa kiakili. Nataka nianzishe kabila cha watu wenye akili kama wa Israel (kama unachuki nao kwa kujaliwa akili ruksa kutema povu)

Hapa natafuta magenius kama 100 hivi halafu tunaoa wanawake kutoka vijijini wenye akili nyingi kila mtu wanawake hata watu hivi.

Principal ni kuzaa watoto wengi.

Kwa mwaka wa kwanza tutakua tu 300

Wanaume 100
wanawake kila mtu watu-300

Mwaka wa kwanza-mtoto mmoja mmoja jumla watotot 300
Jumla ya watu=100+ 300+300 =700

Baada ya miaka mitano ni kabila kubwa sana la watu wenye akili😂😂😂

Halafu tunaanzisha na utamatuni wetu.

Vipi hii idea
Idea nzuri sana. Halafu kuna eneo hili hapa ambalo halina mwenyewe, unalifanya himaya yako.

1711489898328.png

1711489965026.png
 
Napata hili wazo baada ya kuona makabila mengi ya Africa yanashindwa kuikomboa nchi kitechnolojia na kiuchumi kisa kua na uwezo mdogo wa kiakili. Nataka nianzishe kabila cha watu wenye akili kama wa Israel (kama unachuki nao kwa kujaliwa akili ruksa kutema povu)

Hapa natafuta magenius kama 100 hivi halafu tunaoa wanawake kutoka vijijini wenye akili nyingi kila mtu wanawake hata watu hivi.

Principal ni kuzaa watoto wengi.

Kwa mwaka wa kwanza tutakua tu 300

Wanaume 100
wanawake kila mtu watu-300

Mwaka wa kwanza-mtoto mmoja mmoja jumla watotot 300
Jumla ya watu=100+ 300+300 =700

Baada ya miaka mitano ni kabila kubwa sana la watu wenye akili😂😂😂

Halafu tunaanzisha na utamatuni wetu.

Vipi hii idea
Hitler alikuwa sahihi kabisa kufikiria kuwaondoa duniani watu weusi maana mnajijua mataahira hamna akili.
 
Napata hili wazo baada ya kuona makabila mengi ya Africa yanashindwa kuikomboa nchi kitechnolojia na kiuchumi kisa kua na uwezo mdogo wa kiakili. Nataka nianzishe kabila cha watu wenye akili kama wa Israel (kama unachuki nao kwa kujaliwa akili ruksa kutema povu)

Hapa natafuta magenius kama 100 hivi halafu tunaoa wanawake kutoka vijijini wenye akili nyingi kila mtu wanawake hata watu hivi.

Principal ni kuzaa watoto wengi.

Kwa mwaka wa kwanza tutakua tu 300

Wanaume 100
wanawake kila mtu watu-300

Mwaka wa kwanza-mtoto mmoja mmoja jumla watotot 300
Jumla ya watu=100+ 300+300 =700

Baada ya miaka mitano ni kabila kubwa sana la watu wenye akili[emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu tunaanzisha na utamatuni wetu.

Vipi hii idea
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Wengine tayari tupo tunafanyia kazi idea kama hii kitambo sana. Mdogo mdogo tunasogea.

 
Wengine tayari tupo tunafanyia kazi idea kama hii kitambo sana. Mdogo mdogo tunasogea.

hee huu uzi ndo nauona leo
 
Wengine tayari tupo tunafanyia kazi idea kama hii kitambo sana. Mdogo mdogo tunasogea.

hee huu uzi ndo nauona leo
 
Hitler alikuwa sahihi kabisa kufikiria kuwaondoa duniani watu weusi maana mnajijua mataahira hamna akili.
Sawa we mzungu!
Kifupi hitler alikua mpumbavu ndio maana kifo chake kiliendana kabisa na level ya ujinga wake…,
Kila mtu ashinde mechi zake ndo maana kila watu wana ardhi yao na sehemu zao!!…
Ni sawa nawe uone kua nguruwe hawana faida Kwa kuangalia na kujifikiria ww kitu ambacho ni Level ya juu ya ujinga usio na kipimo!!

Aliyepo na hiyo position n Muumba kwaiyo ww unaakili zaidi kuliko aliyeviumba??

Hii level ya ujinga hata shetani Hushangaa
 
Mimi natamani hii nchi ingeuzwa tu kwa wenye uhitaji. Halafu pesa itakayopatikana tugawane sawa! Na baada ya hapo kila mtu aangalie ustaarabu wake.

Kama utaamua kuomba uraia kwa wamiliki wapya, iwe juu yako! Kama utahamia Burudi, juu yako! Maana kinachoendelea sasa ni upumbavu. Yaani watu wachache tu ndiyo wanafaidi mema ya nchi, huku walio wengi wakitaabika kwenye dimbwi la umasikini!
 
Back
Top Bottom