Nataka nianzishe kabila langu. Je, inawezekana?

Nataka nianzishe kabila langu. Je, inawezekana?

Serikali ikipiga marufuku bangi mnakuwa wakali, huyu nae ana akili eti
 
Nafahamu asilimia 95 ya Wakazi wa Ulimwengu huu tumerithi Makabila ya Baba Zetu

Kwahiyo hata wewe umerithi Kabila la Baba yako, hivyo hata hiko kizazi unachokisema kitarithi Kabila la Babu yao ambao ni Baba yako wewe
 
Kabila lazima muwe damu moja.
Labda wewe ndio uzae watoto wako kisha uwaseti utakavyo alafu baadae ndio liwe kabila.

Huwezi kufanya Watu ambao hamna undugu ati uunde kabila.
Unazungumzia siasa, na hapo ni taifa. Taifa sio lazima muwe damu moja
 
Napata hili wazo baada ya kuona makabila mengi ya Africa yanashindwa kuikomboa nchi kitechnolojia na kiuchumi kisa kua na uwezo mdogo wa kiakili. Nataka nianzishe kabila cha watu wenye akili kama wa Israel (kama unachuki nao kwa kujaliwa akili ruksa kutema povu)

Hapa natafuta magenius kama 100 hivi halafu tunaoa wanawake kutoka vijijini wenye akili nyingi kila mtu wanawake hata watu hivi.

Principal ni kuzaa watoto wengi.

Kwa mwaka wa kwanza tutakua tu 300

Wanaume 100
wanawake kila mtu watu-300

Mwaka wa kwanza-mtoto mmoja mmoja jumla watotot 300
Jumla ya watu=100+ 300+300 =700

Baada ya miaka mitano ni kabila kubwa sana la watu wenye akili😂😂😂

Halafu tunaanzisha na utamatuni wetu.

Vipi hii idea
KAMA NI RAHISI ANZISHA MKUU
 
Kabila lazima muwe damu moja.
Labda wewe ndio uzae watoto wako kisha uwaseti utakavyo alafu baadae ndio liwe kabila.

Huwezi kufanya Watu ambao hamna undugu ati uunde kabila.
Unazungumzia siasa, na hapo ni taifa. Taifa sio lazima muwe damu moja
Si kweli kabila linaunganishwa na tamaduni lugha siyo damu.
Kwaiyo unamaanisha wasukuma wote ni ndugu??
 
Back
Top Bottom